Nilham......where ya at!

Moyo wangu unauma mimi ndie nilieanza kukuchombeza
Kikakupa tahadhari machozi si kupenda
Leo iweje uwe unamchombeza?
Sina tena hamu jamvi kuliendeleza
Naona tabu nataku kudekezwa
Sema watania msije kunipoteza :A S 20::A S 20:

shossi.....cheza...mbali!
 
Ngoja niwaleteeni Dua la Nguvu kuwaombea NILHAM na HASHYCOOL ktk mapenzi yenu
 
oooppps mohammed abuy mbona wataka haribu jamani???:A S 20::A S 20::A S 20:
Moyo wangu unauma mimi ndie nilieanza kukuchombeza :A S 20:
Kikakupa tahadhari machozi si kupenda
Leo iweje uwe unamchombeza?
Sina tena hamu jamvi kuliendeleza
Naona tabu nataku kudekezwa
Sema watania msije kunipoteza :A S 20::A S 20:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom