Nikubali kuwa na huyu binti?

Nikubali kuwa na huyu binti?

Kadamnasi

Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
87
Reaction score
41
Samahani, poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha, naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mimi tu, naniweza kumwandikia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.

Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? Naombeni ushauri (bubbles are allowed).
 
Samahani , poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha,naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mm tu, naniweza kumwandia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? ..naombeni ushauri (bubbles are allowed).
story za wavulana ambao hamjakuwa matured!
 
Samahani , poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha,naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mm tu, naniweza kumwandia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? ..naombeni ushauri (bubbles are allowed).
Cku ingine kichwa kikichemka , weka kwenye fridge kipoe sawa
 
Sasa kama kaamua kukupigia simu, then wat..?? Kupiga simu kasemaje..?? Wewe una umri gani..?? Great Thinker gani hawezi kujibu simu..??
 
Sasa kama kaamua kukupigia simu, then wat..?? Kupiga simu kasemaje..?? Wewe una umri gani..?? Great Thinker gani hawezi kujibu simu..??
Simu yake nimeipokea na akanipa hi tu..maana ninadra kupigiwa simu na mtu ambaye mmeachana naye mda mrefu.
 
Simu yake nimeipokea na akanipa hi tu..maana ninadra kupigiwa simu na mtu ambaye mmeachana naye mda mrefu.
Sasa kupewa hi tu unataka ushauri wa nini..??? Au ukipewa "hi" tu ndio amekutaka..?? Mbn una mawazo ya kitoto..?? Be a man bro.
 
Sasa kupewa hi tu unataka ushauri wa nini..??? Au ukipewa "hi" tu ndio amekutaka..?? Mbn una mawazo ya kitoto..?? Be a man bro.
Huwezi jua" reason behind" .huwezi kumpigia simu mtu kama hauna hisia naye ...grow your mind mkuu...
 
Huwezi jua" reason behind" .huwezi kumpigia simu mtu kama hauna hisia naye ...grow your mind mkuu...
Hakuchukiii, ila anakuona "just a friend". Sio kila anayekupigia simu anakuwa na hisia na wewe..!! Acha utoto..!! Ina maana wewe wanaokupigia simu wote wana hisia na wewe..??
 
Huwezi jua" reason behind" .huwezi kumpigia simu mtu kama hauna hisia naye ...grow your mind mkuu...
sawa tufanye anakutaka kakojoe ulale, muda wa baba zako huu wa kupanga familia
 
Huwezi jua" reason behind" .huwezi kumpigia simu mtu kama hauna hisia naye ...grow your mind mkuu...
Sasa kama hatuwezi kujua "reason behind" unataka kushauriwa nini??? Elezea kwanza hyo reason, the we can advice kama tutaona inafaa.
 
Back
Top Bottom