Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
JAMANI NINAHITAJI MKOPO WA HARAKA SANA KAMA 5M HIVI .kuna mahali nimepata kiwanja chini ya hiyo bei sasa nataka nikinunue na kwa sasa nii invest kwenye kitu kingine nikabaki holaa nimewaza mpaka je ni benk gani yenye riba ndogo au nawezaje kukopa saccos hizo hela ila sina kitu chakuweka dhamana kweli nahitaji hiki kiwanja .ninauwezo wakurudisha kila mwezi 200,000.hebu nisaidieni mawazo yenu wadau.kiwanja kiko sokoni so mkopo nahitaji wa haraka sana