Jilanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 255
- 40
Natanguliza heshima mbele!
Nipo tayari kupokea Kadi ya CCM na kuwa mwanaharakati endapo tu ntapatiwa majibu ya kuridhisha juu ya Swali lifuatalo.
Utangulizi.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye vigezo vingi sana vya kisheria pale mtu anapotaka kuanzisha kampuni.
Yaani hatua 13 za kisheri (Legal Procedures) na zifanyike kwa muda usiopungua siku 28 ndipo kampuni litakuwa limekidhi vigezo na uhalali wa kuanzishwa!
Swali:
Je kama kweli Serikali kupitia kitengo cha Brela wako makini, waliwezaje kusajili kampuni hewa ya Richmond ambayo ilidumu kwa miaka zaidi ya mitatu huku serikali wakiwalipa 153M kwa siku?
Nipo tayari kupokea Kadi ya CCM na kuwa mwanaharakati endapo tu ntapatiwa majibu ya kuridhisha juu ya Swali lifuatalo.
Utangulizi.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye vigezo vingi sana vya kisheria pale mtu anapotaka kuanzisha kampuni.
Yaani hatua 13 za kisheri (Legal Procedures) na zifanyike kwa muda usiopungua siku 28 ndipo kampuni litakuwa limekidhi vigezo na uhalali wa kuanzishwa!
Swali:
Je kama kweli Serikali kupitia kitengo cha Brela wako makini, waliwezaje kusajili kampuni hewa ya Richmond ambayo ilidumu kwa miaka zaidi ya mitatu huku serikali wakiwalipa 153M kwa siku?