Kumbe ni wewe. Nilikuona ulivyokuwa unatia huruma. Ila dodo kali yule. Umemuopoa wapi jamaa yangu?Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Afu ujue umepinda sana
iliwahi kunitokea...Ila nilikula ivo ivo na damu zakeUnataka kuchunisha zaidi mwenzio maana anaweza akachukua chumba kumbe kweli yuko period
lkn mkuu, hiyo rangi ya njano imenipa ukakaso coz n km ya chama flan. siji kukuokoa maana hiyo rangi siipendi. sorryNimemwambia nchamae out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Haaa haaszMwambie wenzie wakiwa period huwa hawatoki out! Muombe akapumzike
hela za kuchepuka anazo, na hela za kupeleka kwa familia anazo!Kwan umeshikiliwa hapo mkuu? Ww sepa na hizo ndio hasara z kuchepuka. Hizi hela unazospend hapo bora ungezipeleka kwa familia yako
sio vzr kumcheka mtu mwenye magumu!He he
Hahahaaaaa.....Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Pole mkuu! Ulitakiwa umwambie umepata emergency! Kuna family matter@Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....