Magu
Senior Member
- Jun 13, 2011
- 156
- 56
Wadau niko safarini kwenda Iringa nimeanza safari saa sita na nusu mchana.
Nimepanda basi lenye majina mawili kwa gari moja, ubavuni limeandikwa Budget na mbele linaitwa Upendo.
Gari limechakaa ile mbaya bodi yake, hapa kwenye dashi bodi usiombe ni kama uko ktk gari lililotupwa dampo, linatoa mlio kama magari ya zamani SISU au Leyland Dafu kwenye injini.
Tuombeeni tufike salama
Nimepanda basi lenye majina mawili kwa gari moja, ubavuni limeandikwa Budget na mbele linaitwa Upendo.
Gari limechakaa ile mbaya bodi yake, hapa kwenye dashi bodi usiombe ni kama uko ktk gari lililotupwa dampo, linatoa mlio kama magari ya zamani SISU au Leyland Dafu kwenye injini.
Tuombeeni tufike salama