Niko radha kutangaza ndoa

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,716
12,074
Nikikutana na mdada mwenye nido ya pointers.

Nido.jpg
 
Makubwa haya tena. Nido tu ndo ugonjwa wako haya.
Halafu hebu rekebisha title badala ya radha weka radhi sawa eehhh
 
Haya bwana, endelea kuwakagua tu utampata utangaze ndoa. Usije kuomba ushauri ndoa imepanda imeshuka lakini..................manake bwana, maisha ni zaidi ya hivo.
 
hivi kuna watu wenye 'pears'?:laugh::laugh::laugh:

Hao wenye pears ndio ambao yakianguka yanakuwa "water melons", yaani hao wa pears huwa zinaanguka vibaya mno.

Ila mimi hao wa maziwa msambao "water-wings" na wale vifua pasi huwa hawanivutii kabisa.
 
Hao wenye pears ndio ambao yakianguka yanakuwa "water melons", yaani hao wa pears huwa zinaanguka vibaya mno.

Ila mimi hao wa maziwa msambao "water-wings" na wale vifua pasi huwa hawanivutii kabisa.

yalekea wajua hii idara sana hahaha lol:coffee::coffee::coffee:
 
Back
Top Bottom