Niko njiani naelekea Moro, mliopo Morogoro au Dar naombeni mchongo

Nina swali mkuu. Biashara ya kukusanya vigogo na kuuza kwa wachina inahitaji minimum mtaji wa sh.ngapi? Wewe ulianza na mtaji wa sh.ngapi? Ulipata hasara au ni kwamba mtaji ulirudi bila faida yoyote?
Naomba nifafanue na kama kuna sehemu utahitaji ufafanuzi zaidi usisite kuniuliza.

Hii biashara mtaji wake hutegemeana na mambo yafuatayo;
1: Upatikanaji wa miti.
Hapa itategemea miti umeipataje,je alie kuuzia ni mtu anaekujua au kakuuzia bei za kigeni.

2: Umbali ulikopita hiyo miti mpaka kufika kiwandani.
Miti ikiwa mbali sana gharama za usafurishaji huongezeka.

3: Kiasi cha miti.
Miti ikiwa mingi gharama za yule mkataji,hapa namaanisha mtu wa Chainsaw zitaongezeka na usafirishaji pia.
Ila bei ya kawaida ni 50,0000= kwa wastani wa kujaza safu mbili zilizo jaa haswaa!!

4: Barabara & msimu wa mvua.
Msimu wa mvua barabara nyingi za porini huwa haziingiliki kwa urahisi,so jiandae kupakia mzigo nusu nusu wao wanaita "Kushant". Hapo gharama lazima iongezeke.
Pia msimu kama huu wa kiangazi barabara nyingibza porini zinapitika kwa urahisi,hali inayopelekea viwandani kwa wachina kuwa na influx ya mzigo kutoka pori. So hii ina affect soko,kuna time imefikia mchina hapimi mzingo tena,anakukadilia tu pesa kulingana na mzigo.

Kuhusu mtaji ambao nilianza nao mimi.
Mimi sikwenda na pesa hata na mia ya mtaji kwasababu nilikua napita tu pale nimetoka zangu Mbeya,Chunya huko kusaka pesa ila sijaambulia kitu.

So kuna namna nikiweza kudeal na wenyeji wangu mapema tu nikawa nmepata almost 850K,na ikatosha katika gharama zote kwa ujumla .
Hivyo naweza kusema mimi mtaji wangu ulikua ni 850,000/=

Na nilipata 547,000/= tu,HASARA.
 
Umepotea njia ndugu, rudi nyuma kama 05km utakutana na barabara kuu kula kushoto kama 400m utakutana na kituo cha basi then subiria usafiri hapo uende unapokwenda, huku ulipo ndugu yetu anatafuta mchongo
Kabisa,huyu kapotea sana.
 
Naomba nifafanue na kama kuna sehemu utahitaji ufafanuzi zaidi usisite kuniuliza.

Hii biashara mtaji wake hutegemeana na mambo yafuatayo;
1: Upatikanaji wa miti.
Hapa itategemea miti umeipataje,je alie kuuzia ni mtu anaekujua au kakuuzia bei za kigeni.

2: Umbali ulikopita hiyo miti mpaka kufika kiwandani.
Miti ikiwa mbali sana gharama za usafurishaji huongezeka.

3: Kiasi cha miti.
Miti ikiwa mingi gharama za yule mkataji,hapa namaanisha mtu wa Chainsaw zitaongezeka na usafirishaji pia.
Ila bei ya kawaida ni 50,0000= kwa wastani wa kujaza safu mbili zilizo jaa haswaa!!

4: Barabara & msimu wa mvua.
Msimu wa mvua barabara nyingi za porini huwa haziingiliki kwa urahisi,so jiandae kupakia mzigo nusu nusu wao wanaita "Kushant". Hapo gharama lazima iongezeke.
Pia msimu kama huu wa kiangazi barabara nyingibza porini zinapitika kwa urahisi,hali inayopelekea viwandani kwa wachina kuwa na influx ya mzigo kutoka pori. So hii ina affect soko,kuna time imefikia mchina hapimi mzingo tena,anakukadilia tu pesa kulingana na mzigo.

Kuhusu mtaji ambao nilianza nao mimi.
Mimi sikwenda na pesa hata na mia ya mtaji kwasababu nilikua napita tu pale nimetoka zangu Mbeya,Chunya huko kusaka pesa ila sijaambulia kitu.

So kuna namna nikiweza kudeal na wenyeji wangu mapema tu nikawa nmepata almost 850K,na ikatosha katika gharama zote kwa ujumla .
Hivyo naweza kusema mimi mtaji wangu ulikua ni 850,000/=

Na nilipata 547,000/= tu,HASARA.
@Baraka21
 
Dah, mpambanaji pole sana. Mungu atatuvusha tu wote tunapitia hiyo hali.
Asante sana ndugu,naamini hatutobaki hivi siku zote ni LAZIMA hali itabadilika na unafuu utapatikana.

Maisha ni kama mshale,GOD PULLS US BACK TO SHOOT US FORWARD.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom