Niko njia panda

Sawa Boss..

Mkuu FisadiKuu kwa ripoti za wanasaikolojia wewe ni mtu mwenye busara maana pamoja na kurushiwa maneno makali wewe unajibu kistaarabu. Big up ila next time waache watu na uhuru wao wa kuongea kwa lugha yoyote ile isipokua matusi tu!
 
Last edited by a moderator:
Retired mzima mie poa........hahahaha atasingizia alisinzia kwenye basi unajua mwendo mrefu iringa Dar.......kweli inakera unapomtafuta mtu yeye hana habari baadae analeta habari hazieleweki.

Poa dada, xmas wapi mwaka huu?

Haya mambo yanakera sana. Uzuri ni kwamba maisha baada ya hapo ni matamu sana.
 
Aise kwanza kweli kabisa awana bima wakiamua kitu hatauwabembeleze vip atakuja tu lakini a takuwa anamuwaza yule Yule kimsingi achana nae atakuletea magonjwa bule
 


mwache akuache kwa mbwembwe..... we piga kimya tuu atarud analia mwenyew tuu.... hzo ndo tabia za wasichana wa chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…