ThePromise
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 210
- 50
mabinti wa siku hizi wanapenda mtelemko kweli.Love for money.Dogo hana kitu ndiyo maana unataka kusepa.
Kukutusi kunasaidia kufungua masikio ya ubongo wako.Una elimu ila haujaelimika.hapo unawaza chupchupchupchupchupi pamoja na elimu yako.Endelea kupiga naye kavukavu,ukidhani uko peke yako.Ukitaka ujue kama anakupenda kweli, hebu mwambie hujaona siku zako.Jamani mie nahitaji msaada wa mawazo kwani nilishatambulishwa nyumbani kwao bf wangu, kunitusi hakunisaidii mnazidi kunipa wakati mgumu tu
mabinti wa siku hizi wanapenda mtelemko kweli.
mbona ana mimba tayari kaandika humu,nimemuambia ajiandae kulia.Kukutusi kunasaidia kufungua masikio ya ubongo wako.Una elimu ila haujaelimika.hapo unawaza chupchupchupchupchupi pamoja na elimu yako.Endelea kupiga naye kavukavu,ukidhani uko peke yako.Ukitaka ujue kama anakupenda kweli, hebu mwambie hujaona siku zako.
Azote ni kuwa nimepata ujauzito wa huyu mume wa mtu thats why nikasema kumwacha kwasasa haiwezekani
Nadhani hajamuambia jamaa aone "How a man can become a Swine"mbona ana mimba tayari kaandika humu,nimemuambia ajiandae kulia.
NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
mbona ana mimba tayari kaandika humu,nimemuambia ajiandae kulia.
ndo hivyo wewe hujitambui,si una mimba wewe zaa uanze kulea,utajuuuuuuuta,huyo mwanaume ni cheater jiulize mko wangapi?im 32 with 3 kids.You are only 24 kama ni kweli.maana umesema mlikutana 3 yrs ukiwa unamalizia mwaka wa nne na now una 24 yrs,ina maana degree ulimaliza ukiwa na miaka 20,kitu ambacho ni uongo kwa system ya TANZANIAIts not what you think madam
Poleeee!At least jamaa amepata pa kupumzikia.hakupata hii opportunity akiwa katika umri wako.Its not what you think madam
Acha ushetani we mwanamke si vyema kuendekeza nyege zako hadi kupelekea kuvunja ndoa za mwenzio pili hebu jichukulie wewe ni yule mkewe wa huyo mzinifu mwenzako ungejisikiaje? Mi nahisi unaugua utahira wa mapenzi kwa kuendekeza nyeg,e zako.KAMA KWELI WE UNAVUTIA NA ELIMU HUWEZI KUNG'ANG 'ANIA MUME WA MTU NDO NYIE MNAOTUFANYA TUONEKANE SISI WANAWAKE HATUNA AKILI KILA SIKU.
am swallowing a bitter pill right nowwanaume sisi ni wabaya, lakini wanawake ni wajinga.
am swallowing a bitter pill right now
Azote ni kuwa nimepata ujauzito wa huyu mume wa mtu thats why nikasema kumwacha kwasasa haiwezekani
hehehe extra miles, wizi mtupuAzote nadhani hujanielewa mie kuachana na huyu mume wa mtu inakuwa vigumu kwani tushaenda extra miles si juu yangu tena kuamua
Natumai utakuwa unanitambua kuwa naujua uhusiano wenu vizuri na nikiwa kama shemeji yako nakujulisha nyepesi tu kuwa mke wa rafiki yangu ameanza kuhisi kinachoendelea na muda si mrefu atakuja kujua usaliti mnaomfanyia,sasa jiulize kuwa akijua wewe utasimama wapi?Utaendelea kusafiri katika bati ya wapendanao huku ukijua kuwa dhoruba ikija utatoswa majini?Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.