Niko njia panda

ushauri wa nini wakti umeshasema kwenye hiyo aya ya mwisho kuwa kumuacha mume wa mtu huwezi. ok hii dunia inapita na mambo yake yatapita. ila siku mke wa jamaa akikujua ndo utajua kwanini biblia ilisema uwe na mke/mume 1. maana mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Hii ni hatari dada yangu vipi future yake kindoa? Huyo ni shetani mshinde otherwise u will regrate the whole part of remaining life.
 
Kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough

ushamwambia brfnd kwamba imekula kwake asongeshe na maisha yake?
 

laiti kila mdada/mwanamke angelijua kuwa waume za watu ni wasanii kuliko wasanii wowote wale chini ya jua, huko wataambiwa ya kuambiwa but mwisho wa siku anarudi kwa mkewe, hamuwaulizagi maswali ya ziada jamani? kwamba akisema hampendi sijui hivi na vile, kwanini msiwashawishi wawaoe sasa nyie mliopendwa? mnaishia kuzalishwa na kuachwa tu.
 
Kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough

......decent man who cheats on his wife.......
endelea kuenjoy mwaya, pengine ni miwivu inatusumbua wengine!!!!!!!!!!
 
Tulipima kabla ya kuanza kuhaves3x

uzuri wa kuwa na mume wa mtu na kucheza peku, you need to trust sio hawara yako tu bali na mke wake pia; otherwise ni kamtandao rafiki.
 

Akifika 40 atakuwa shuga mumy nashangaa anaomba ushauri wa nini na huku katoa uamuzi wake wa mwisho huu umalaya wa namna hii unakera.
 
mijianamke mingine bwana hasara tupu huwez mwacha then y are you seeking 4 advice????????? Nenda akakuoe then utajua kinachofwata
 
kuna novel moja nilisoma inaitwa irresistible forces nahisi iliandikwa kwa ajili yako,
 
kama huyo mume wa mtu ni muislamu au ana fuata mia ambazo zinaruhusu polygamy basi mwambie akuongoze uwe wa 2
 
Jamani matusi yenu hayasaidii jamaa amenambia anataka amweleze mkewe, mie nimekubali matokeo nitazaa na kumlea mwanangu kwani wangapi wanazaa nje ya ndoa zao? Its neither the first nor the last

Kaulize wanaishi maisha gani ndio ujue kutangulia siyo kufika. Umeunga trela mbovu yenye heartache na low esteem kwa mtoto utakayemzaa
 
kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough
decent man??sio decent asingefanya upuuzi huo,nawewe unafurahia kabisa duu,decent halafu anafanya hayo,hata huko kazini sizani kama anaperforme??kweli kweli dada unaona ni sahihi hayo kweli?embu tafakari maisha yako mi sidhani kama unajua unachokitaka.
 

ah mume/mke wa mtu kitu gani bana
 
isingekuwa mume/mke wa mtu ,so ni kitu ,mhhhhhh.

sijamaanisha sio kitu.

nina maana kwamba kutoka na mme/mke wa mtu sio big deal bwana.

mi mwenyewe mke wa mtu , na mume wangu anatoka na mke wa mtu na mwenyewe pia najirusha na mume wa mtu mwingine pia.

i dont see why people make a big deal out of nothing
 

ndo maana mie nikasema watuachie sisi wake za watu bwana.

mume wa mtu wake mke wa mtu bana, sasa nashangaa hivi vitoto vinaingilia nyumba za watu hata majukumu ya kimaisha hawajui
 

wewe kweli mtoto, kwa taarifa yako utakuta haka katoto ndo kanamuondelea stress kwahiyo perfomance inaongezeka kazini,
 

Uko njia panda ya kwenda wapi? Kutesa wengine? Maana wewe ni mtesaji uliyekubuhu! Kwanza unamtesa huyo mke wa mtu uliyemwibia mume wake, unawatesa watoto wa huyo mume bila huruma, cha kusikitisha ni huyo boy wako ambaye anakuamini na kukupenda akijua ana mpenzi mwaminifu kumbe kibaka tu wa mapenzi. Sio kweli kwamba unaogopa kumuumiza huyo boy wako, umeshamuumiza hitimisha tu kwa kumwambia mapenzi yako kwake yameisha ili atibu majareha na kutafuta pengine mapemaaaaaa kuliko kumpotezea muda.

Kumbuka za mwizi ni arobaini, subiri ushikwe kwa kudandia waume za watu. Ningekushauri uachana na huyo bwana haraka iwezekanavyo lol!
nakala kwa Watu8
 
Kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough

Kweli sikio la kufa halisikii dawa binafsi nilisema tukuache kukulaumu may be umeshasikia! niliposoma hicho hapo juu napata shida sana na IQ yako,unatamba na jana kalala kwako? umelogwa nanani wewe dada kumganda mme wa mtu kama papasi na bado unarudi kutuambia upuuzi huu....basi wewe utakuwa ni malaya uliyekubuhu mwingine kama ndo alikuwa anaanza tabia hii angesoma post zote hizi angelia kabisa na kukaa mbali na mme wa mtu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…