Niko njia panda, nisaidieni

One and Only

Senior Member
Mar 7, 2011
161
62
Habari zenu great thinker, nina tatizo ambalo naamini naweza kupata msaada kutoka kwenu.
Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa na ukaribu wala mahusiano, tukapotezana mpaka baada ya kumaliza chuo. Tukakutana tena kila mmoja wetu akiwa anafanya kazi na kuanzisha uhusiano wakimapenzi. Tatizo ni kwamba siku za mwanzo tu za uhusiano, mpenzi akawa ana lazimisha tuanze kufanya mapenzi tena bila kinga wakati mimi na yeye wote hatujapima, nilipomkatalia ndio akaanza visa mpaka leo, mara ananinunia wiki, hapokei simu wala kujibu msg zangu kwa madai kuwa amekasirika na kususa, mara yuko busy sana hawezi kuonana na mimi kwa kifupi haeleweki tena. Naomba ushauri wenu nifanyeje maana nampenda but visa vyake vinanichosha na nahisi hana mapenzi ya kweli na mimi, wadau nahitaji mawazo yenu. Nawasilisha
 
Habari zenu great thinker, nina tatizo ambalo naamini naweza kupata msaada kutoka kwenu.
Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa na ukaribu wala mahusiano, tukapotezana mpaka baada ya kumaliza chuo. Tukakutana tena kila mmoja wetu akiwa anafanya kazi na kuanzisha uhusiano wakimapenzi. Tatizo ni kwamba siku za mwanzo tu za uhusiano, mpenzi akawa ana lazimisha tuanze kufanya mapenzi tena bila kinga wakati mimi na yeye wote hatujapima, nilipomkatalia ndio akaanza visa mpaka leo, mara ananinunia wiki, hapokei simu wala kujibu msg zangu kwa madai kuwa amekasirika na kususa, mara yuko busy sana hawezi kuonana na mimi kwa kifupi haeleweki tena. Naomba ushauri wenu nifanyeje maana nampenda but visa vyake vinanichosha na nahisi hana mapenzi ya kweli na mimi, wadau nahitaji mawazo yenu. Nawasilisha
Kama hataki kupima achana nae "Ukimchekea nyani utavuna mabua"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
wewe ni mkaka au mdada?
bt woteva...nji ivi uyo MDAU WAKO HAKUPENDI YEYE ALITAKA MCHUNGULIANE TU NA ALE KONA FASTA
SASA ulivyokuwa unamyeyusha ndo akanuna akaona ahh apa posibility ya kula mzigo hakuna ni bora nisepe

afazali kasepa
na ole wako nisikie unampigia simu tena nakwambia ntakuchapaaaaaaa ohoo ohoo dnt b victim wa ivo

hakupend na wala akutak sasa cha kumpigia cm?
MWENYE MAPENZ YA KWELI ALILIII PENZ KINGUVU..TENA ANAWEZA ASIGUSIE NA ATA AKIGUSIA NA UKIMWELELWESHA ALET FUJO ...
UYO WAKO ALIKUJA KIKAZ ZAID BT NTHNG LOVE

BYEEEEE...umenielewa lakin?
ole wako umpigie simu ntakugecha ohpohooo!!!!
 
wewe ni mkaka au mdada?
bt woteva...nji ivi uyo MDAU WAKO HAKUPENDI YEYE ALITAKA MCHUNGULIANE TU NA ALE KONA FASTA
SASA ulivyokuwa unamyeyusha ndo akanuna akaona ahh apa posibility ya kula mzigo hakuna ni bora nisepe

afazali kasepa
na ole wako nisikie unampigia simu tena nakwambia ntakuchapaaaaaaa ohoo ohoo dnt b victim wa ivo

hakupend na wala akutak sasa cha kumpigia cm?
MWENYE MAPENZ YA KWELI ALILIII PENZ KINGUVU..TENA ANAWEZA ASIGUSIE NA ATA AKIGUSIA NA UKIMWELELWESHA ALET FUJO ...
UYO WAKO ALIKUJA KIKAZ ZAID BT NTHNG LOVE

BYEEEEE...umenielewa lakin?
ole wako umpigie simu ntakugecha ohpohooo!!!!

Haaa haa Rose, thanks mpenzi, kuna wakati nakuwa na mawazo kama yapo but moyo unanidanganya, unaniambia dont give up, simpigii tena simu, naogopa utanichapa
 
Haaa haa Rose, thanks mpenzi, kuna wakati nakuwa na mawazo kama yapo but moyo unanidanganya, unaniambia dont give up, simpigii tena simu, naogopa utanichapa

dah nasikitka kwa kuitumia i sentens vbaya...na ntakuchapa kweli..
so unaweza kulala kaburini ukimlilia mtu aliyekufa afufuke ukisema dnt gve up?

in prio jamaa akupend a na akutaki

yaan uhusiano wenu umebebwa au ulitaka ubebwe na sex...thats no jig jig no uhusiano...my dear thats isnt love

uyo alikuwa na mingunga yake na angesafisha rungu apo wala usingemwona na ndo mana ukimpigia skuiz apokei cz anajua anachokitaka hakuna ,anaona unamyeyusha tu cz yeye ayupo kwako kukaa ni kupita shwaaaaaaaaaaaaa na ivi atak condom bas weee akipita shwaaa ashakuachia vrusi 8 na anasepa..WAKE UP SWEETIE

uo ndo ukike na uo ndo uanamke bora gangamala na uwe na msimamo...dnt kugawa gawa ovyo PIPI YA BIBI...na mtu akijifanya km unip unipend bas minaondoka ...mwambie plsss naomba nkusindkize...ASEPE FASTA

AKUPEND UYO ANATAKA MWILI WAKO TU SI KINGNE

KM UPO TAYARA KUMEGWA NA KUACHWA
KUDANDIWA PEUPE UKU UKIJUA UYU ANANIDANDIA TU NA KUSEPA BAS ENDELEA KUMPIGIA SIMU

NA KWANZA UTARATBU GAN U WA WEWE KUMPIGIA SIMU JAMAA 24 7 WAKAT YEYE HANA MPANGO ATA WA KUKUBP?UWEZ KUSENSE APA STAKIWI?
B A GARL,
B ALADY
WAIT FOR A GENTLEMAN ATAKAYEKUPENDA AS A WHOLE AND NOT SOME PART OF U

nimekwambia usimpigie....
 
Rose80.......ndo maana hunipigii simu eeh? BUT hatukukubaliana kupima kwanza, si ndio?:love:


Back to topic, hebu tuambie the One and Only, mmeshamegana kwa namna yeyote?
 
Rose80.......ndo maana hunipigii simu eeh? BUT hatukukubaliana kupima kwanza, si ndio?:love:


Back to topic, hebu tuambie the One and Only, mmeshamegana kwa namna yeyote?



dah rr alifuta simu yako kwangu
ebu nchek bas
 
Kuwa makini anataka akupe GROAN huyo halafu aingie mitini kama hataki mwambie akajivue MAGAMBA halafu arudi upya
 
Rose80.......ndo maana hunipigii simu eeh? BUT hatukukubaliana kupima kwanza, si ndio?:love:


Back to topic, hebu tuambie the One and Only, mmeshamegana kwa namna yeyote?

No hatujamegana, we just kissed thats all
 
dah nasikitka kwa kuitumia i sentens vbaya...na ntakuchapa kweli..
so unaweza kulala kaburini ukimlilia mtu aliyekufa afufuke ukisema dnt gve up?

in prio jamaa akupend a na akutaki

yaan uhusiano wenu umebebwa au ulitaka ubebwe na sex...thats no jig jig no uhusiano...my dear thats isnt love

uyo alikuwa na mingunga yake na angesafisha rungu apo wala usingemwona na ndo mana ukimpigia skuiz apokei cz anajua anachokitaka hakuna ,anaona unamyeyusha tu cz yeye ayupo kwako kukaa ni kupita shwaaaaaaaaaaaaa na ivi atak condom bas weee akipita shwaaa ashakuachia vrusi 8 na anasepa..WAKE UP SWEETIE

uo ndo ukike na uo ndo uanamke bora gangamala na uwe na msimamo...dnt kugawa gawa ovyo PIPI YA BIBI...na mtu akijifanya km unip unipend bas minaondoka ...mwambie plsss naomba nkusindkize...ASEPE FASTA

AKUPEND UYO ANATAKA MWILI WAKO TU SI KINGNE

KM UPO TAYARA KUMEGWA NA KUACHWA
KUDANDIWA PEUPE UKU UKIJUA UYU ANANIDANDIA TU NA KUSEPA BAS ENDELEA KUMPIGIA SIMU

NA KWANZA UTARATBU GAN U WA WEWE KUMPIGIA SIMU JAMAA 24 7 WAKAT YEYE HANA MPANGO ATA WA KUKUBP?UWEZ KUSENSE APA STAKIWI?
B A GARL,
B ALADY
WAIT FOR A GENTLEMAN ATAKAYEKUPENDA AS A WHOLE AND NOT SOME PART OF U

nimekwambia usimpigie....

Hoi thanks my dear, i think u made me see clearly hata kama nilikuwa najifanya kipofu, thanks a lot
 
Japo sijui kama wewe ni g / b
ila huyo si mwoaji/mwolewaji
hapo yeye anataka mahusiano ya kivulini,
safari ya mapenzi kwake inaendelea,
ila kama unampenda na upo tayari kufanywa kivuli / pia kufanya ngono na usiyejua afya yake ikoje basi endelea naye,
huku ukitarajia kupokea kwa furaha + au - pindi utakapoenda kufanya afya checkup.
unajua kuna watu wanampenda mpenzi zaidi kuliko anavyojipenda yeye.
 
Huyo anataka utamu tu atambae.
Akili kichwani kwako.
Kama unataka utengeneze nae future mwenzio hana habari.
 
ni kweli huyo hakufai.na nakupongeza kwa kujali afya yako.manake kupima ni swala la kwanza kabisa kabla ya mahusiano hayajafika mbali.usijali mungu atakupa mwingine atakayekupenda.pole sana
 
Habari zenu great thinker, nina tatizo ambalo naamini naweza kupata msaada kutoka kwenu.
Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa na ukaribu wala mahusiano, tukapotezana mpaka baada ya kumaliza chuo. Tukakutana tena kila mmoja wetu akiwa anafanya kazi na kuanzisha uhusiano wakimapenzi. Tatizo ni kwamba siku za mwanzo tu za uhusiano, mpenzi akawa ana lazimisha tuanze kufanya mapenzi tena bila kinga wakati mimi na yeye wote hatujapima, nilipomkatalia ndio akaanza visa mpaka leo, mara ananinunia wiki, hapokei simu wala kujibu msg zangu kwa madai kuwa amekasirika na kususa, mara yuko busy sana hawezi kuonana na mimi kwa kifupi haeleweki tena. Naomba ushauri wenu nifanyeje maana nampenda but visa vyake vinanichosha na nahisi hana mapenzi ya kweli na mimi, wadau nahitaji mawazo yenu. Nawasilisha
Hapo kwenye red majuto mjukuu, tii hisia zako mydear
 
Vitu viingine ni kujifunza kusoma alama za nyakati, kama siyo alama hizo basi soma roho yako inakuwambia nini. Siyo swala la kukushauri wee kimbia na usigeuke nyuma utakuwa jiwe la chumvi kama mke wa Lutu.
 
Back
Top Bottom