One and Only
Senior Member
- Mar 7, 2011
- 161
- 62
Habari zenu great thinker, nina tatizo ambalo naamini naweza kupata msaada kutoka kwenu.
Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa na ukaribu wala mahusiano, tukapotezana mpaka baada ya kumaliza chuo. Tukakutana tena kila mmoja wetu akiwa anafanya kazi na kuanzisha uhusiano wakimapenzi. Tatizo ni kwamba siku za mwanzo tu za uhusiano, mpenzi akawa ana lazimisha tuanze kufanya mapenzi tena bila kinga wakati mimi na yeye wote hatujapima, nilipomkatalia ndio akaanza visa mpaka leo, mara ananinunia wiki, hapokei simu wala kujibu msg zangu kwa madai kuwa amekasirika na kususa, mara yuko busy sana hawezi kuonana na mimi kwa kifupi haeleweki tena. Naomba ushauri wenu nifanyeje maana nampenda but visa vyake vinanichosha na nahisi hana mapenzi ya kweli na mimi, wadau nahitaji mawazo yenu. Nawasilisha
Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa na ukaribu wala mahusiano, tukapotezana mpaka baada ya kumaliza chuo. Tukakutana tena kila mmoja wetu akiwa anafanya kazi na kuanzisha uhusiano wakimapenzi. Tatizo ni kwamba siku za mwanzo tu za uhusiano, mpenzi akawa ana lazimisha tuanze kufanya mapenzi tena bila kinga wakati mimi na yeye wote hatujapima, nilipomkatalia ndio akaanza visa mpaka leo, mara ananinunia wiki, hapokei simu wala kujibu msg zangu kwa madai kuwa amekasirika na kususa, mara yuko busy sana hawezi kuonana na mimi kwa kifupi haeleweki tena. Naomba ushauri wenu nifanyeje maana nampenda but visa vyake vinanichosha na nahisi hana mapenzi ya kweli na mimi, wadau nahitaji mawazo yenu. Nawasilisha