One and Only
Senior Member
- Mar 7, 2011
- 161
- 62
- Thread starter
- #21
Asanteni sana wakuu kwa msaada wenu, for sure i feel new, JF is the best family ever
Kuwa makini dada na watu wasiotaka kupima. kuna dada (family friend) alikuwa na boyfriend akiwa o'level. Mdada hakufanikiwa kuendelea akapata kazi ya ualimu (primary) lakini alikuwa mzuri sana. Kijana kaendelea mpaka chuo kikuu ila urafiki wao ukaisha kiaina bila ugomvi. Baada ya miaka kadhaa wakakutana wakaanza upya uhusiano wao na ndani ya muda mfupi wakafunga ndoa. Kumbe kaka ni HIV positive and many people knew he was positive ila mdada hana hili wala lile kisa wanajuana toka zamani. Wamekaa kwenye ndoa miezi sita tu mume kaanza kuugua. Kafa wakati wife ana mimba ya miezi nane. Na ninavyoandika wife pia kesha fariki.
Lesson: Hata kama mtu ulimjua toka zamani haina maana kuwa ni mzima. Hataki kupima aanze mbele. Kuna watu wanaoa ili wapate wa kuwavisha nepi watakapo anza kuhara.