Niko Njia Panda, Naomba ushauri wa bure

Niko Njia Panda, Naomba ushauri wa bure

Mashaxizo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
6,707
Reaction score
3,355
Habari wana JF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!
 
Duniani kuna watu billion 7, wanawake ni zaidi ya billion 4. kwanin uumie na mwanamke mmoja wakati wamejazana wengine kibao had wanakosa waume na wengine wanaolewa hadi wanne. believe hakuna true love ila its just the way u live with ur partner na kuweka mambo yenu sawa. LOVE CAN BE CREATED AS WELL AS BEING DESTROYED.
 
Kasome kwanza kijana, hata kuandika vizuri huwezi, kiingereza huwezi, kiswahili huwezi, je kumiliki msichana utaweza?

Soma kwanza wasichana wazuri wanazaliwa kila baada ya sekunde
 
dont distab ha xo xo mch.
 
Nakubaliana na wewe asome kwanza. Manake hata naniliu yake haijakuwa kubwa ya kutosha.
Ila hapo kweny3 wanaozal
Kasome kwanza kijana, hata kuandika vizuri huwezi, kiingereza huwezi, kiswahili huwezi, je kumiliki msichana utaweza?

Soma kwanza wasichana wazuri wanazaliwa kila baada ya sekunde

wa kila sekunde, unataka aoe kitukuu chake ama?
 
Namna tu uandikavyo naweza kutambua hata mavuzi ya uwemba bado hayajakuota...
Bado una kile kimuhemuhe cha nye.ge mshindo...
Ni hivi bwa mdogo, subiri kwanza umri wako uongezeke uitwe mwanaume badala ya mvulana, mtoto wa kiume etc...ndiposa uparamie mapenzi.
 
Rudi shule ukajifunze kuandika maana kusoma naona unajua ila kuandika!!
Mtafute mwalimu aanze kukuimbisha ule wimbo wa 'muandiko ni laini na mkono legelegeee' ukishajua kuandika njoo unifuate nikupe ushauri.
 
Habari wana JF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!
pole sana kaka,inaonekana huna pesa,kajipange kisha rudi tena ukiwa na pesa uwez kuachwa angelipigania penzi lake mpaka mwisho,tajiri anuniwi,
 
Unaomba mawa30? Sijakuelewa hapo.Unauml gan? Kama upo under 17 sio kosa lako ila kama umezid hiyo miaka itakuwa uliachwa sababu ya usela wako ulizidisha utoto na hakuna mwanamke anayependa kuwa nawatoto

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
. .soma...uelimike... uwe matured.... upate kazi..... uweze kujitegemeaaa then NDIO UFIKIRIE KUOA AU KUMFUATA MSICHANA NA ATAKUELEWA....hakuelewi kwani hujajipanga...
sasa ukimwoa mtakula hewa...?? wanawake wanajua MWANAUME YUPI KAJIPANGA KIMAISHA....anaweza kumpa mapenzi na malezi bora ya wanae watakao zaa.... wanajua sana ndio maana kaku diss.....
 
5 rules to win a girl!
1. Mpe hela
2. Mpe hela tena
3. Mpe hela zaidi
4. Nasema mpe helaaaa!
5. Mpe hela zaidi na zaidi!
 
Habari wana JF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!

Hapo nilipobold, inaonekana uliamua kutafuta wasichana wengine wawili kama namna ya kujipoza baada ya kupigwa chini, hivi nani aliyekwambia kuwa kwenye kila eneo dawa ya moto ni moto? Na kwanini nisiamini kuwa wewe ni kicheche? Ukweli wa kwamba wewe si kicheche angeupata wapi kama tabia zako zingekuwa zimetulia?
Ushauri: Tulia na achana na biashara ya mademu. Kama mpaka sasa hajapata mtu, atakuja kubaini ukweli na atarudi mwenyewe. Kama ana mtu tayari, ifundishe akili yako ikubali matokeo. Kuwa na wasichana wengi si namna nzuri ya kujifariji baada ya kupigwa chini. Waweza kuishia kupata magonjwa na kushindwa kumudu kazi/masemo yako vyema.
Tafakari!
 
Namna tu uandikavyo naweza kutambua hata mavuzi ya uwemba bado hayajakuota...
Bado una kile kimuhemuhe cha nye.ge mshindo...
Ni hivi bwa mdogo, subiri kwanza umri wako uongezeke uitwe mwanaume badala ya mvulana, mtoto wa kiume etc...ndiposa uparamie mapenzi.

yaani alivyoandika mi nikawa najiuliza is this a "boy" or a "men"

ngoja nimswalike hivi Mashaxizo shule mnafungua lini
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!

Ndo kufanya nini?
 
Back
Top Bottom