Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
Habari wana JF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!
Plz follow this scenario & then give me ur advice.
Mnamo mwezi wa 10 - 2011, nikiwa masomoni, nilimuona bint 1 na nikaanza kumpenda. Mwezi wa 4 - 2012 nikamuaproach, alinikubalia mwezi wa 10 - 2012, lakin baada ya miez 3 hali ikachange, due to ze fact that aliambiwa mm ni kicheche na, rafiki yangu, huyo rafiki nilijuana nae mtaani tu, ukweli ni kwamba rafiki anamtaka huyo mrembo, mwanzo nilifanya mapenz ya siri bila rafiki kujua, ilifikia rafiki ananiomba nimpe maujanja ili ampate huyo mrembo, dah! It was hard task 2 me, just nilimzugazuga tu. Mh! Mwisho wa maji matope! jamaa si akas2kizia, akaanza kulikoroga, akakorogaaaa hadi yule mrembo akaanza kunicomment, mwisho wa siku akanitel tuachane, sikukubali kirahis but ningefanya nini. Nilijipa moyo nitapata mwengine na kweli nilipata but sikua na amani, nilimuazia yy tu, nikaona isiwe tatizo nika'add' mwengine, ah wapi! Bado nilimuazia yy. Wale waschana wawil tukaachana, nikaamua kumuask 2rudiane, lkn alikataa, nikimuuliza umepata mwengine anasema hapana hayuko tayari kwa mapenz hadi amalize kusoma, nikimuuliza nimsubirie anakataa, sometimes ananiuliza ni nani ameshika nafas baada ya kuondoka yeye. Ukweli ni kwamba nampenda xana xana xana. Sometimes ananiambia namdistab, anadai pia mm sì mwelewa.
Naomba Mawa30 wanaJF!