Karibu Mkuu, it feels good to have you back!Nimerudi mkuu
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
Mtongoze tu huenda ni domo zege huyoNafanya kazi sehemu flani, nilikutana na huyu kaka kazini ni mtu anayenijali alishawahi kunisaidia kama pesa n.k hakuwahi kunitamkia kama ananipenda ila kuna vimaswali huwa ananiuliza kama hivi, (miaka ndo inaenda hivyo) hili swali bado sijaelewa huwa kamaanisha nini tulishawahi kupanga tutoke out lakini ilishindikana baada ya miaka kwenda ikanibidi nimtoe mimi siku io ilikuwa siku nzuri alifurahia sana na akuamini kama ni mimi ningekuwa na ujasiri huo...... mpaka leo ajawahi kuniambia chochote ila dalili za kunipenda kama zipo hivi ila ninachompendea huyu kaka ni ananijali sana pindi ninapokuwa na shida na kwa upande wa mahusiano alishaniambia kuwa hayuko na mtu yani hata kile anachokifanya kuhusu maendeleo yake ananishirikisha...... hivi je huyu mtu ananipenda au?
kama yuko hapa afunguke
na hatimaye Miss Chagga amerudi baada ya majukumu ya ndoa.Nimerudi mkuu
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
Kama ulivyo niingilia mimi.Acha kupoteza muda anakupa pesa halafu unapiga piga chenga kama vipi mtongoze kikike.
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
waoh, umerudiiiiAcha kupoteza muda anakupa pesa halafu unapiga piga chenga kama vipi mtongoze kikike.
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
Inawezekana,muda wote huo jamaa anashindwa kufunguka...au anakasoro za kimaumbile.wengine mapunga fresh........
Acha kupoteza muda anakupa pesa halafu unapiga piga chenga kama vipi mtongoze kikike.
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
Nashika nafasi kwanza halafu nitasoma baadae
Vijana wa siku hizi kila kitubl wanauliza..hawana elimu ya maisha kabisa
Nipo hapa nitakuambia mda ukifika bado nakuchunguza kuwa utafaa kuwa mke wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ningeshangaa SMS kama hii itakosekanaje hapa[emoji28]
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app