Niko Njia Panda Nahitaji mawazo yenu

Niko Njia Panda Nahitaji mawazo yenu

Mvizie umbake!

Wanaume wa mikoani mnakwama wapi lakini?

- KANA -
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivo ndivyo tulivyo ma gentleman sio kwamb tunakupenda ila tunakusaidia tu na kukupa kampan

Subiria uje kutambulishwa kwa mwengine ambaye ni muhusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi wanaume tulivyo kuhusu hiyo kitu sio mzima huyo ana tatizo
Yani mimi hapa natamani uni pm ili tupige story mbili tatu na uki ni pm sijui kama zitapita wkend 3 hujaliwa
Dahhhh! Kweli kwenye miti hakuna wajenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kukusaidia huko kote.. hajawahi kukuomba mzigo hata siku moja..?
 
Nafanya kazi sehemu flani, nilikutana na huyu kaka kazini ni mtu anayenijali alishawahi kunisaidia kama pesa n.k hakuwahi kunitamkia kama ananipenda ila kuna vimaswali huwa ananiuliza kama hivi, (miaka ndo inaenda hivyo) hili swali bado sijaelewa huwa kamaanisha nini tulishawahi kupanga tutoke out lakini ilishindikana baada ya miaka kwenda ikanibidi nimtoe mimi siku io ilikuwa siku nzuri alifurahia sana na akuamini kama ni mimi ningekuwa na ujasiri huo...... mpaka leo ajawahi kuniambia chochote ila dalili za kunipenda kama zipo hivi ila ninachompendea huyu kaka ni ananijali sana pindi ninapokuwa na shida na kwa upande wa mahusiano alishaniambia kuwa hayuko na mtu yani hata kile anachokifanya kuhusu maendeleo yake ananishirikisha...... hivi je huyu mtu ananipenda au?
kama yuko hapa afunguke
Upo kwenye INTERVIEW stuka hapo kama una ma tabia mabaya haswa hili li tabia la kuomba omba au kulia lia shida za kisenge kwa mwanaume linawafelisha sana kwenye INTERVIEW zetu za kutafuta mke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama hujajua tu kwamba mim domo zege? Sina namna ya kukwambia zaid ya hvyo ndio maana ile siku tumetoka nilifurah sana
 
Wewe unampenda au unafurahia tuu anavyokujali?!
 
Yaani shogaangu MMU kuna mambo jomoniii...em tucheke sie akina yakhe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona gia ilivyobadilishwa angani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea kudhalilika inabidi tu ujisafishe maana hamna namna[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umeona gia ilivyobadilishwa angani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea kudhalilika inabidi tu ujisafishe maana hamna namna[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂me stakkki jomoniii😂😂gia ya mwendokasi angani
 
Kila mtu ana njia yake ya kuonyesha kama anakutaka au anakutamani.yeye hawezi labda mpaka asaidiwe lakin kuonyesha kukupenda anaweza. We jua watu kama hao ni hadimu sanaa so kuwa muaangalifu usijekupoteza yote rafiki na mpenzi wa maisha ako. Bora mkae muambiane ukweli . Kama mnatamaniana au mnapendana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom