Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Unataka kusema Divorcee huwa hawaowi wala kuolewa tena na kuwa na familia zinazoeleweka?
Ina maana mtu akiwa divorcee ni sawa na laana?
Ina maana mtu akiwa divorcee ni sawa na laana?
dada, unajua unajiweka katika wakati mbaya sana wakati unajihusisha na WAUME ZA WATU? unatakiwa UPATE SABABU za KWA NINI HAO WOTE WALIACHANA NA WAKE ZAO? ili yasije kukukuta kama yaliyowakuta wenzako hao wa kabla. Naamini hakuna mwanamke hata mmoja anayependa kushare mumewe na mwanamke mwingine, na HATA WEWE usingependa hilo likutokee, na hakuna mwanamke atakayekuwa na urafiki na mwanamke aliyemchukua mume wake...JIANGALIE usije kuwa unadanganywa kuwa kuna divorce kumbe hakuna ukajitafutia dhambi za bure...