Niko Njia Panda... Msaada Please

Unataka kusema Divorcee huwa hawaowi wala kuolewa tena na kuwa na familia zinazoeleweka?

Ina maana mtu akiwa divorcee ni sawa na laana?

dada, unajua unajiweka katika wakati mbaya sana wakati unajihusisha na WAUME ZA WATU? unatakiwa UPATE SABABU za KWA NINI HAO WOTE WALIACHANA NA WAKE ZAO? ili yasije kukukuta kama yaliyowakuta wenzako hao wa kabla. Naamini hakuna mwanamke hata mmoja anayependa kushare mumewe na mwanamke mwingine, na HATA WEWE usingependa hilo likutokee, na hakuna mwanamke atakayekuwa na urafiki na mwanamke aliyemchukua mume wake...JIANGALIE usije kuwa unadanganywa kuwa kuna divorce kumbe hakuna ukajitafutia dhambi za bure...
 
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !
 
Ha ha ha ha, chezeiya Konnie akiingia kwenye fani.

Huyu Peter labda aliachishwa kazi, ndo atuambie.

Nilitaka kumuonesha kuwa bora aendelee na John, Peter hana akili ya kuoa.
Yaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.

Afu tayari ana kura turufu ya kwako na ya kwangu. Imebaki moja tu ya Babu mwenzangu Dark City.

Vote For John... (Nimekumbuka mshiko wangu Superman kanirusha, au adhawaiz fellow tablet klorokwini atakuwa katuuzia kibudu kwenye kiroba.... Do something Kongosho asali ya ODM)
 
Last edited by a moderator:
Watongozaji tuna kazi ngumu kweli ya kushawishi mwanamke akubaliane na matakwa yako
 
sababu ya John kuachana na mkewe naifahamu na niliihakikisha kwa watu tofauti, iko genuine ndio maana talaka ilitoka mapema. Peter tangu namfahamu alishaachana na mkewe, hivyo hata sikufuatalia kisa kilikua nini.

dada, unajua unajiweka katika wakati mbaya sana wakati unajihusisha na WAUME ZA WATU? unatakiwa UPATE SABABU za KWA NINI HAO WOTE WALIACHANA NA WAKE ZAO? ili yasije kukukuta kama yaliyowakuta wenzako hao wa kabla. Naamini hakuna mwanamke hata mmoja anayependa kushare mumewe na mwanamke mwingine, na HATA WEWE usingependa hilo likutokee, na hakuna mwanamke atakayekuwa na urafiki na mwanamke aliyemchukua mume wake...JIANGALIE usije kuwa unadanganywa kuwa kuna divorce kumbe hakuna ukajitafutia dhambi za bure...
 
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !

bila mshiko kwa kibongo bongo hujaoa wala hujamweka sawa katika himaya
 
Roulette jamani nimeshindwa kuku like maana sikuiona sijui imedisappear wapi. but nimeku like my friend, well said...

Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !
 
samstevie, pesa ya John wala hainiweki njia panda, maana hapa nilipo kwa sasa niko juu kiasi fulani and not because of him. kama nilivyosema mwanzo, nina maisha yangu mazuri tu kwa effort yangu mwenyewe. namshukuru mungu sijawahi kuishi kwa kufanyiwa bali najifanyia mwenyewe, upo sam...?

Inakuwaje mtu ambaye humpi nafasi katika nafsi yako akuweke njia panda?(John) Na issue za relationship kwangu binafsi kushauri ni kazi maana inakuwa kama vile kumchagulia mtu partner wa kuishi nae for the rest of his/her life. Kama unampenda Peter na ni mwenye kipato duni endelea nae na huyu John kinachokuweka njia panda ni pesa yake and not true love kitu ambacho huenda kikaathiri maisha yako vile vile. For JUST FOLLOW YOUR HEART only thing I can say.
 
Ngoja nisubiri na mie kura ya Babu DC.

Hivi watu wanadhani chakula kitawekwa mezani na penzi?

Peter mwenyewe misheni town, hapo hapo atataka na ndugu zake wasaidiwe, afu hajatulia ndo maana labda waliachana mwanzo.

Heri nusu shari kuliko shari kamili, Votye for John.

Kuhusu Superman, namwendea Sumbawanga mwezi ujao, atakuja hapa hana sehemu inayomtambulisha yeye kama superMAN au superWoMAN.

Yaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.

Afu tayari ana kura turufu ya kwako na ya kwangu. Imebaki moja tu ya Babu mwenzangu Dark City.

Vote For John... (Nimekumbuka mshiko wangu Superman kanirusha, au adhawaiz fellow tablet klorokwini atakuwa katuuzia kibudu kwenye kiroba.... Do something Kongosho asali ya ODM)
 
narudi badae kidogo

Nilisema ntarudi sababu nilikuwa nakumbuka hii story hapo chini, nadhani huyu ni Peter.

Si kila mwanamme anaweza ndoa, Peter ulishampa nafasi na akashindwa kuitumia, je unadhani sasa kaenda okota wapi akili ya kuwa mume?

Endelea na John, mapenzi yatajiset huko huko mkiwa ndani, wakati mwingine tunajifunza kupenda.


oooh my god Kongosho siamini kama ukiolewa /au kuoa mtu ambae humpendi mapenzi yatajiseti huko mbele:nono:
Mie nakanusha kabisa..
:nono:
Da Asia naomba upige goti chini uombe mungu akuonyeshe ni nani aliyeandaliwa kwa ajili yako...
 
Last edited by a moderator:
Yaani mpaka sasa John anaongoza kwa kura nyingi.

Afu tayari ana kura turufu ya kwako na ya kwangu. Imebaki moja tu ya Babu mwenzangu Dark City.

Vote For John... (Nimekumbuka mshiko wangu Superman kanirusha, au adhawaiz fellow tablet klorokwini atakuwa katuuzia kibudu kwenye kiroba.... Do something Kongosho asali ya ODM)
Asprin huyu Superman mbona analalamikiwa na kila mtu Nyani Ngabu nae anakilio cha mshiko wake
 
Last edited by a moderator:
Ndoa maana yake nini? kama maana yake financia comfort and unconditional love from one side basi mkubalie huyo wa kwanza. Kama maana yake struggling (financialy and emotionaly) together and finding comfort in mutual love basi mchague huyo wa pili.
Don't base your decision on what they have to offer, base it on your own understanding and expectation of a successful life and marriage. Since you are financially independant, money should not be an issue. Halafu kumbuka they are not the only two option, kuna wengine pia hata kama hawajajitokeza. good luck !

Roulette jamani nimeshindwa kuku like maana sikuiona sijui imedisappear wapi. but nimeku like my friend, well said...

Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.

My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.

Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.
 
Last edited by a moderator:
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.

kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.

Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.

Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.

Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.

Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.

Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...

Nadhani nimekuelewa kwa kuunganisha hizo two dots
 
Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.

My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.

Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.

Sasa AshaDii na Gadafi wapi na wapi jamani? hahahahaha.
Halafu naona kama hujamwelewa Da Asia. hajasema kua ushahuri wenu hauna maana, amesema tu amependa nilivo mfafanulua njia ya kuchukua uamuzi. sasa atatumia ushahuri wenu kwa kuzingatia what I said. endeleeni kumpa ushahuri, her decision is not easy to take.
 
Last edited by a moderator:
nenda kwa john, na uanze kuangalia mazuri yake tu, mbona utampenda sana, peter mdelete kabisa hajabadirika kitu huyo, mtaachana tena na tena na tena
 
FirstLady1, hadi Asia kuja hapa ujue kuna kitu ndani yake kwa John, ila bado anataka kuwa na Peter.

Huwezi wekwa njia panda na mtu ambaye haufeel chochote, penzi kwa John na hakika lipo, japo sijui kwa kiwango gani.

Kwa hiyo analo la kutosha kujiset mbele kwa mbele lol.

oooh my god Kongosho siamini kama ukiolewa /au kuoa mtu ambae humpendi mapenzi yatajiseti huko mbele:nono:
Mie nakanusha kabisa..
:nono:
Da Asia naomba upige goti chini uombe mungu akuonyeshe ni nani aliyeandaliwa kwa ajili yako...
 
Last edited by a moderator:
Tena nikijumlisha na udaku niliofukua, anatutania.

Kanipandisha hasira hadi nimemnasa kofi bosi, hapa niliponaandikiwa samasi.

Twende zetu chit chat bora.

Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.

My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.

Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.
 
FirstLady1, hadi Asia kuja hapa ujue kuna kitu ndani yake kwa John, ila bado anataka kuwa na Peter.

Huwezi wekwa njia panda na mtu ambaye haufeel chochote, penzi kwa John na hakika lipo, japo sijui kwa kiwango gani.

Kwa hiyo analo la kutosha kujiset mbele kwa mbele lol.
Mimi bana ndo maana napendaga sana Kongosho bana.

Angekuwa hana feeling yoyote kwa John (iwe ya kimapenzi au ya kiuchumi) huyu mhanga wa mapenzi asingeanzisha huu uzi. Kwani kishatongozwa na wangapi bana? Mbona hajawafungulia uzi hapa?

Stuka!

Afu mbona sijajibiwa jamani kuwa leo ni juma ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom