Niko Mbeya wakuu, nitembelee wapi na wapi

Niko Mbeya wakuu, nitembelee wapi na wapi

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,984
Wana chitchat mlioko jiji a mbeya niko hapa leo ni mitaa gani nizungukie mizuri maana naona jiji limepoa sana
 
Mhh,Mbeya nmetoka siku nyingi lakini jaribu kusogea mitaa ya Mafiata karibu na TIA nafikiri kuna viwanja vizuri
 
Wana chitchat mlioko jiji a mbeya niko hapa leo ni mitaa gani nizungukie mizuri maana naona jiji limepoa sana

Waulize madera boda boda au bajaji. Humu naona watu wapo kimya
 
neda sehemu hizi

1.uzunguni, forest mpya na block t kwa vitu vizuri nyumba hadi watoto wakarez.
2.mwambie dereva akushushie sinde nenda magereza ulizia duka la magereza vitu bei cheee!!!
3.night club nenda maisha club karibu kabisa na tawi la chuo cha mzumbe mbeya ama nenda carnival club maeneo hayo.
 
neda sehemu hizi

1.uzunguni, forest mpya na block t kwa vitu vizuri nyumba hadi watoto wakarez.
2.mwambie dereva akushushie sinde nenda magereza ulizia duka la magereza vitu bei cheee!!!
3.night club nenda maisha club karibu kabisa na tawi la chuo cha mzumbe mbeya ama nenda carnival club maeneo hayo.

Asante nitafanya hii kazi this weekend
 
tembeleq mitaa uhindini ukaoshe macho...
pitia mlima mbeya..
nenda tunduma,vuka boda kwa miguu tu ingia zambia ukaone kulivyo..
nenda mlowo(Mbozi) ukaone kimondo..
usisahau matema beach(kyela)ni pazuri sana,ziwa nyasa huko..
ningekuwa huko ningekupeleka sehemu fulani ni Mbozi vijijini huko kuna maeneo mazuri yanavutua sana ila ndio hivyo tena hayafahamiki sana..napenda maeneo kama hayo kuliko kuwa tu kwenye makelele ya mjini.
 
neda sehemu hizi

1.uzunguni, forest mpya na block t kwa vitu vizuri nyumba hadi watoto wakarez.
2.mwambie dereva akushushie sinde nenda magereza ulizia duka la magereza vitu bei cheee!!!
3.night club nenda maisha club karibu kabisa na tawi la chuo cha mzumbe mbeya ama nenda carnival club maeneo hayo.

ile ya mzumbe si ndio inaitwa VIBE...!! iko poa.
 
upo mbeya sehem gani mkuu fanya kufika mbalizi tukale upepo mlima reli au kilimani st. marry's iwala
 
nenda Utengule ukasafishe macho, the view is breathtaking hadi raha
 
​Nahisi kuna kitu mtoa mada bado hamujamuelekeza na ndo kusudio lake sasa nyinyi munaleta habari za milima ndo munazidi kumfanya hapaone MBEYA kumepoa
 
Back
Top Bottom