Mimi naongea ukweli
Zamani polisi walikuwa duni sana
Nakumbuka mkuu wa kituo alinichukia sana kwa sababu nilikuwa polisi wa kwanza kununua baiskeli mpya PHOENIX .
Baisskeli yenye we nilikopa kwa MZee Ally Kessy
Mimi naongea ukweli
Zamani polisi walikuwa duni sana
Nakumbuka mkuu wa kituo alinichukia sana kwa sababu nilikuwa polisi wa kwanza kununua baiskeli mpya PHOENIX .
Baisskeli yenye we nilikopa kwa MZee Ally Kessy
Mbona unakuwa mwoga kiasi hicho?Lukosi, naweza kuwa mtu wa kwanza kukupa ushauri ama kuna waliotangulia kukupa ushauri. Ni vizuri kuongea lakini hekima inatakiwa hasa katika kuchagua maneno ya kuongea.
Kauli zako zinaweza kukuponza kama si leo basi hata huko mbeleni na ukichukulia kwamba mitandao hii inasomwa sehemu mbalimbali duniani.
Hatufahamiani lakini naona nitoe ushauri huu kwako, kesho na keshokutwa utanikumbuka.
Haujui ulisemalo,
Hata wanamgambo tu wanapewa mafunzo ya kivita, sembuse polisi?
Ulitaka nibaki polisi niwe fukara?
Nilikuwa nalipwa shs 7,250 wakati matumizi yangu yalikuwa shs 35,000, sasa hapo sijui mkate na siagi ungepatikana vipi?
Mbona unakuwa mwoga kiasi hicho?
Kwa hiyo ulitaka niseme askari walikuwa na maisha bora enzi hizo?
Unajua kuwa nimelala sana kwenye vile vinyum,ba vya bati? mshahara ulikuwa hata hautoshi kununua watoto nguo ya sikukuu wewe ulitaka nisemeje.
Leo polisi walau wanalipwa vizuri lakini sio zamani
Kama una ndugu yeyote polisi wa zamani muulize akuambie...
Chris Lukosi nadhani mlifundishwa uzalendo kama first priority subject. Hata hivyo sasa hivi uandikapo thread hii kuna mchakato wa katiba mpya ambayo itakuja na jibu la suala lako
Ahsante kwa kuendelea kuipenda nchi yako ya kuzaliwa, ndio uzalendo
sawa kabisa jamaa kama comedian!!!! kwik kwik kwik !Now days napenda sana uzi zinazo anzishwa na x-coplo. kwangu mimi ni full comedy
Wewe lazima ufe masikini tuu...Alifundishwa uzalendo lakini alishindwa kuishi kizalendo katika nchi yake na aliamua kwenda kuishi utumwani hivyo yeye ni mtumwa na si mzalendo tenda na hana haki ya kuendelea kujivunia nchi yake kama anajidai ndio maana unaona anasema anahofu hata ya kuwekeza katika iliyokuwa nchi yake. Wasitafute kubadioishwa kwa katiba iki kuhalalaisha usaliti waliokwishakuufanya kwa katiba iliyokuwa inatuongoza naikiyokuwa inakataza uraia wa nchi mbili kwanza ningekuwa na mamlaka ningalisema ikiwa katiba mpya itaruhusu uraia wa nchi mbiki basi wale waliokuwa na uraia wa nchi nchi nyingine kabla ya katiba hiyo hawataruhusiwa kuomba uraia wa nchi waliyoikataa mpaka kwanza wastakiwe kwa kuvunja katiba ioiyokuwepo na waadhib7we
Video zangu zote zipo mitandaoni na hotuba zangu ziko hapa JFChris, 2yrs ago, ulikuwa mstari wa mbele kumtukana Amiri Jeshi mkuu, je hako kakiapo chako kalikuwa wapi? Napenda sana Uraia pacha, lakini sio huu unaoshabikiwa na CCM
Mkuu nimekusoma,Mimi ni mtumishi ama ni mfanyakazi serikalini hapa Tanzania. Sina woga bali nimekupa ushauri tu ndugu yangu baada ya kupitia makala zako nyingi na kukusoma vizuri kwenye Google na Youtube. Angalia unachoongea na kuandika mitandaoni. Unaweza ukawa vizuri kipesa lakini Public Relation ni muhimu sana kwa leo na kesho.
Hivi bro Lukosi UK ULITUSUA?Mkuu nimeisha kuambia kuwa baada ya kuacha jeshi wenzangu wote niliowaacha polisi nkansi ni marehemu, sasa ulitaka na mimi niwe mfu???
Hivi bro Lukosi UK ULITUSUA?
Hahahaa, mkuu mbona kiswahili cha zamani sana hicho ... LOLHivi bro Lukosi UK ULITUSUA?
Haujui ulisemalo,
Hata wanamgambo tu wanapewa mafunzo ya kivita, sembuse polisi?
Ulitaka nibaki polisi niwe fukara?
Nilikuwa nalipwa shs 7,250 wakati matumizi yangu yalikuwa shs 35,000, sasa hapo sijui mkate na siagi ungepatikana vipi?