Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 100
- Thread starter
- #21
nafikiri umenipata vibaya rafiki yangu, katika maelezo ya mwanzo nilisema mahusiano duni na majirani na mengineyo, sasa hayo mengineyo ndo pamoja na kuogopwa.Unaona? Kwenye post kuu umesema tu maelewano mabaya hukusema kuogopwa funguka bana.