Ok,,sawa mkuu hata mimi niliona kinyaa mwanzoni lakini sasa hivi ni Burudani tu tena bora umegewe ukijua kuliko hujui.
ww sio mzima kabisa.kama sio afya basi kichwani saa mbovu.khaa!
Ok,,sawa mkuu hata mimi niliona kinyaa mwanzoni lakini sasa hivi ni Burudani tu tena bora umegewe ukijua kuliko hujui.
Wewe muoe na uendelee ku share na jamaa,mbona mme share kwa miaka mitatu tena ukiwa unajua kila kitu na hukuona tatizo?
Wewe ulikuwa unamuibia jamaa sasa umekolea chukua jumla jamaa naye akuibie.
Sharing is caring.
ww sio mzima kabisa.kama sio afya basi kichwani saa mbovu.khaa!
Kitu ambacho hakiwezekani m/Mke kuolewa na watu wawili. Ila m/ume kuoa wawili inawezekana
Kenya mbona WANAUME 2 wameoa MKE mmoja?Why ishindikane kwenu?
Ushasema Kenya
we ishu ipo wazi.. Survival of the fittest... Weka ndani tia mimba au virse versa is true! As long as mna vigezo binti amuache mjamaa aje kwako.. Nawewe zidisha mbwembwe bana..kwani ela huna??ongeza midundo nakazalika... Vuta kitu tulieni..
Mazingira uliyompata huyo demu haistahri umuoe!
take it frm me man, she gonna ruin you very persistently. Najua at first ulpotezea kuhusu sharing na kujiona kuwa kdume kwa kuopoa demu wa mshikaji. Sasa mfanye kuwa mkeo ndo utayaona madhara yake period.
Huwezi jua mshikaji kasamehe mangapi mpaka kumfksha hapo alpo huyo demu. Huyo mwanamke anadhambi na shetani anamsumbua.
She wont 4get whom criated her in anyway haijalshi wameachana ktambo kpi ila jamaa ataendelea kuwa reference always.
Nilikubali kuchanganywa sababu sikuwa na ishu nae zaidi ya kupiga mzigo sasa nimeonja Asali nataka kuchonga na mzinga kabisa.....Hahahaah kina Mushi wameenda Hijja Moshi .
wewe mademu wakuwala tigo wewe wataka kuwafanya wife...be serious man. she aint wife material.
alafu wajidanganya sana...umesema jamaa muslim na wala hajamuonheleaha demu kuhusu ndoa...that shuld tell u kuwa jamaa treats that lady kama hawara na kwamba eti hajui kuwa wee una uhusiano na huyo demu its becoz halishaona kuwa huyu binti ni wakugegeda tuu.
sasa be smart...endelea kumgegeda huyo binti but forget abt marrying her.
Ongea na mshkaji mumuoe wote maana it seems wote wawili anawataka kwa sababu tofauti tofauti.
Angalia ucje pigwa risasi ya kichwa mkuu!
we found love in hopeless place....## m just singing rihanna song :drum::violin: