Nikki Mbishi fans special thread

Nikki Mbishi fans special thread

jamaa yenu hataki kubadilisha mziki kuwa kazi, mambo ya kudumu kwenye mila na kufanya mziki harakati na bado ukawa unakulipa wanafanya wamarekani ambao soko lao liko stable ila sio huku Africa nafasi bado sio nzuri.
Unataka a change aimbe taarabu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom