Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 6,273
- 10,126
Wasalaam.
Ni kitambo Sasa namiliki simu haswa smart phones (Simu janja).
Tangu nianze kumiliki smartphone na umri wa miaka 25 Huwa siweki simu mfuko wa suruali niliyovaa na kutembea nayo haswa simu janja.
Nikifanya hivyo TU huo mguu niliyoweka simu mfukoni unapatwa na moto Tena haswa kuzunguka eneo iliyopo simu.
Sijafahamu ni kwangu TU ama kwa watu wote na Je ni kawaida ama Kuna dalili za hatari.
Simu zangu Huwa naweka kwenye begi wakati natembea mtaani siziweki karibu na mwili.
Je, Kuna mtu Hali hii inamkuta pia?
Ni kitambo Sasa namiliki simu haswa smart phones (Simu janja).
Tangu nianze kumiliki smartphone na umri wa miaka 25 Huwa siweki simu mfuko wa suruali niliyovaa na kutembea nayo haswa simu janja.
Nikifanya hivyo TU huo mguu niliyoweka simu mfukoni unapatwa na moto Tena haswa kuzunguka eneo iliyopo simu.
Sijafahamu ni kwangu TU ama kwa watu wote na Je ni kawaida ama Kuna dalili za hatari.
Simu zangu Huwa naweka kwenye begi wakati natembea mtaani siziweki karibu na mwili.
Je, Kuna mtu Hali hii inamkuta pia?