Nikiwa Rais wa Tanzania miji mikubwa na midogo itapigwa paving

Nikiwa Rais wa Tanzania miji mikubwa na midogo itapigwa paving

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Mji wa Florence Italy ndo mji wa kwanza kupiga mji mzima paving mwaka 1339, leo hii ukitembelea nchi zilizoendelea ni nadra sana kukuta miji yao inavumbi,

kama wao wameweza na sisi Tanzania tunaweza

Miji kama seoul, Beijing, Tokyo ni mikubwa sana, inawatu wengi dar cha mtoto ila ukiambiwa utafute vumbi kwenye hio miji ni ngumu sana labda uènde kwenye Garden, kama wao wameweza na sisi Tanzania tunaweza

Mimi nikiwa Rais wa Tanzania ntahakikisha miji ya Tanzania mikubwa na midogo itapigwa paving baada ya nchi nzima kupimwa na hili linawezeka na
 
Dar inashangaza sn pale ilala city center kuna njia za vumbi kibao aibu sn, ulaya umeenda mbali rwanda tu hapo CBD hakuna vumbi mjini, wana no sand policy sisi hatuna kwenye sera.
 
Dar inashangaza sn pale ilala city center kuna njia za vumbi kibao aibu sn, ulaya umeenda mbali rwanda tu hapo CBD hakuna vumbi mjini, wana no sand policy sisi hatuna kwenye sera.
Ni aibu kubwa sana kuna barabara kariakoo zina vumbi kipindi cha kiangazi, na matope kipindi cha mvua na hata lami zinapigwa ni sukuma liende zinapigwa sana chini ya kiwango ni aibu sana na viongozi hawajali
 
Kama tungekuwa tumepiga paving sehemu kubwa ya miji yetu hili vumbi lisingekuwa ni changamoto kama ilivyo sasa
Sawa, nilikua huko Glasgow, Scotland, ni either lami au majani. Ukitoka nje unazama ndani na viatu vyako.

Lakini utakua Rais Kwa miaka mingapi? Plan zako hazitekelezeki Kwa kipindi Cha miaka 10. You need 60 years, TZ Bado ina mengi ya kufanya, paving sio baadae sana?
 
Sawa, nilikua huko Glasgow, Scotland, ni either lami au majani. Ukitoka nje unazama ndani na viatu vyako.

Lakini utakua Rais Kwa miaka mingapi? Plan zako hazitekelezeki Kwa kipindi Cha miaka 10. You need 60 years, TZ Bado ina mengi ya kufanya, paving sio baadae sana?
Hatari sana mkuu😃
 
Back
Top Bottom