Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Ni ushauri wangu mkuu neno langu sio sheria ila ni miongoni mwa visababishi kwenye linalomsumbua, atachukua ushauri unaomfaa sio lazima tufanane mitazamoAcha kukariri maisha kunatofaut kubwa kutumia kondomu na kavu wala chaputa haihusiki
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Kwahy sasa tukubaliane kua wanandoa hua wanafanya dhambi hiyo ya OnanismYeah! Ni dhambi pia.
Kama wanamwaga pembeni deliberately, yes, ni dhambi.Kwahy sasa tukubaliane kua wanandoa hua wanafanya dhambi hiyo ya Onanism
😂😂😂Avatar yako inachangia
Powa mzima ??Mambo
Wewe ni mrasho 😁😁😁 amazingMambo
Haha hahaPumbavu wewe, unavaa ili iweje?
Bwasi tuKwa nini?
Limenikumbusha kwa bibi yangu nilipokuwa namrasho na rasha majani ya mgombaJina zuri au baya?
Hiyo ni dalili kuwa ukimwi unanjaa na wewe!!!!!Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Kwahy tuseme mwanaume kulala na mkewe ni hadi wawe na hitaji la kupata mtoto? Mana wakilala kikawaida hiv ni onanistic actKama wanamwaga pembeni deliberately, yes, ni dhambi.