Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,712
- 1,661
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Atapona kwel? Au tumshauri ahame kinondoniKuwa na mpenzi mmoja mnayeaminiana na mliyepima afya zenu.
Unatafuta MOTO ww !Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Kama hujaoa ni mzee wa chapa ilale na unadai mpira haukupi mzuka bora utulie tu kwanza bila hivyo kitakukuta kitu.Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Zamani watu kama wewe mlikuwa mnaitwa hermaphroditeWakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Mvalishe yeye kondom ndo uipige
[/n
yaani jamiiforums kumejaa watoto wengi humu na wewe ni great thinkerMvalishe yeye kondom ndo uipige
Unavaa ili iweje au nini unatafuta ..........achana nazoWakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Nakubaliana na wewe.Matumizi ya kondomu ni dhambi. Epuka dhambi mkuu, oa utulie na mkeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni nini lakiniAvatar yako inachangia
kumbe wewe ulihama mkuu?Acha nyeto mkuu hisia na kusimamisha n vitu viwili tofauti, kama hausimamishi ukivaa ndom bas una tatzo la misuli kulegea, fanya mazoezi na uhame chaputa haraka sana
Atapona kwel? Au tumshauri ahame kinondoni