NIKISEMA KWAMBA VYOO VINAHITAJI KUZUIA SAUTI ISITOKE NJE NTAKUA NMEKOSEA??

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
PARA TA TA TA TA !!!!!!


Kuna muda unapita karibu na vyoo unaweza kuhisi kuna makombora yanafyatuliwa kwenye ukanda wa gaza.

Sana sana eneo lililotulia hakuna makelele au usiku pakiwa kimya sana na kuna mtu tumbo limevuruga, eeeeeh acha tu

Yani kuna mda ukiona mtu anapita karibu na choo unaweza kuona aibu kuendelea na zoezi au ukachukia na kuamua tu liwalo na liwe.

Nachoshauri vyoo viwe vina sound proof kuzuia kelele kutoka nje, Ni aibu sana hasa pale mtoto mdogo anakusubiri mlangoni unakuta tu unaanza kujistukia na kuahirisha zoezi
 
Kuna muda unapita karibu na vyoo unaweza kuhisi kuna makombora yanafyatuliwa kwenye ukanda wa gaza huko israel.

Sana sana eneo lililotulia hakuna makelele au usiku pakiwa kimya sana na kuna mtu tumbo limevuruga, eeeeeh acha tu

Yani kuna mda ukiona mtu anapita karibu na choo unaweza kuona aibu kuendelea na zoezi au ukachukia na kuamua liwalo na liwe na ikagauka shughuli ya hasira
Anayeogopa Kujisaidia haja Kubwa haijambana sawa sawa ila kwa ninavyojua ikikubana hata pale Stendi Posta Mpya mbele za Watu utajisaidia tu.
 
Umenena vema mkuu sisi tunaoishi nyumba za kupanga huku uswahilini tumekuelewa sana!

Unakuta wasimbe wanasukana jirani kabisa na ikulu, huku na wewe umetingwa na vyakula vyetu vya kwa mama ntilie hivi yaani ile para-ta-ta-taa ya hatari!

Mara unasikia vicheko hapo nje dah, wapangaji tunapitia mengi sana!.
 
Kuna muda unapita karibu na vyoo unaweza kuhisi kuna makombora yanafyatuliwa kwenye ukanda wa gaza huko israel.

Sana sana eneo lililotulia hakuna makelele au usiku pakiwa kimya sana na kuna mtu tumbo limevuruga, eeeeeh acha tu

Yani kuna mda ukiona mtu anapita karibu na choo unaweza kuona aibu kuendelea na zoezi au ukachukia na kuamua liwalo na liwe na ikagauka shughuli ya hasira
Watu hawapendi kuishi maisha hayo ya kudhalilisha utu wao mkuu, tatizo ni umasikini wa huku uswahilini kwetu mzee baba.

Umasikini ni adui m-baya sana.
 
Umenena vema mkuu sisi tunaoishi nyumba za kupanga huku uswahilini tumekuelewa sana!

Unakuta wasimbe wanasukana jirani kabisa na ikulu, huku na wewe umetingwa na vyakula vyetu vya kwa mama ntilie hivi yaani ile para-ta-ta-taa ya hatari!

Mara unasikia vicheko hapo nje dah, wapangaji tunapitia mengi sana!.
 
Yaan wewe acha tu me nikiingia najisemea moyoni "kwani wazungu hawanyi sembuse mimi liwalo na liwe bna ila aibu cjui wameskia hilo kombora 🤣🤣" yaani ni tabu tupu.
 
Mimi huwa naenda na simu nafungulia mziki mzuri sauti mpk mwisho
Haaa nafanya mambo yangu husikii kitu ng'o hata choo kiwe cha makuti
 
PARA TA TA TA TA !!!!!!


Kuna muda unapita karibu na vyoo unaweza kuhisi kuna makombora yanafyatuliwa kwenye ukanda wa gaza.

Sana sana eneo lililotulia hakuna makelele au usiku pakiwa kimya sana na kuna mtu tumbo limevuruga, eeeeeh acha tu

Yani kuna mda ukiona mtu anapita karibu na choo unaweza kuona aibu kuendelea na zoezi au ukachukia na kuamua tu liwalo na liwe.

Nachoshauri vyoo viwe vina sound proof kuzuia kelele kutoka nje, Ni aibu sana hasa pale mtoto mdogo anakusubiri mlangoni unakuta tu unaanza kujistukia na kuahirisha zoezi
Mfano hiki usipime
FB_IMG_1608289570151.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom