Nikipiga kimoja tu nasinzia

Naona vijana wengi wamekuja na ushauri, ngoja nasi wazee tukusaidie:

1) its called boredom of love. Tatizo kubwa linatokana na kufanya mapenzi ki-routine, inakuwa unaelewa na mpenzi wako anaelewa, mtaanza vipi, mtamaliza vipi mpaka inakuwa ni routine na kila mmoja ana kuwa bored. Tiba: Badilisha routine za kufanya mavituz, kama vile badili time, venue na tactics.

2) Unafanya kazi sana za kukuchosha si tu kimwili bali kimawazo. Angalia, ikiwa ni kazi tuuu na nyumbani ujuwe kuna kazi! Tiba: Kazi na mchezo, mchezo na kazi. Ukiona umetingwa sana na kazi na unaweza kukimbia nyumbani kwa lisaa limoja basi fanya hivyo, ondoa presha kwa kuvinjari na your lover nyumbani, halafu rudi kazini, you will succeed in both.

3) Unafanya tendo la ndoa kwa mpenzi wako ili mradi tu basi ulifanye na unakuwa huna hamu nalo. Tiba: usifanye mapenzi mpaka pale unaposikia kweli unataka kufanya na mwenzako kweli anataka kufanya.

Hayo yote ni kwa wana-ndowa tu.


LIKE mkuu
 
Duuh, sijui hili ni tatizo wanaJF?

Yaani mi nikiwa kwenye majambo na mke wangu nikimaliza tu, baada ya kama dakika mbili napata usingizi wa kufa mtu.

Naamka baada ya kama lisaa limoja hivi.

Napenda kuuliza, hili ni tatizo au ni jambo la kawaida?


Weka picha
 
Duuh, sijui hili ni tatizo wanaJF?

Yaani mi nikiwa kwenye majambo na mke wangu nikimaliza tu, baada ya kama dakika mbili napata usingizi wa kufa mtu.

Naamka baada ya kama lisaa limoja hivi.

Napenda kuuliza, hili ni tatizo au ni jambo la kawaida?



Je, ukichapa nyumba ndogo inakuwaje? Usikute ni mkeo ndiye anayekuboa, kwani utakuta mara nyingi ukiwa kwenye uhusiano na mwanamke kwa muda mrefu ile hamu naye inakutoka inabaki mazoea tu....yaani inakuwa unatomba kimazoea tu kuondoa karaha ila ukiwa nje ndiyo unapata raha zaidi. Si ndiyo unavyojisikia au? Kama ni hivyo basi ni tatizo dogo sana hilo, ushauri ni kwamba uendelee kuchapa wa nje na umpe mkeo likizo ya kama mwezi hivi au mpaka hisia zikujie.
 
Duuh, sijui hili ni tatizo wanaJF?

Yaani mi nikiwa kwenye majambo na mke wangu nikimaliza tu, baada ya kama dakika mbili napata usingizi wa kufa mtu.

Naamka baada ya kama lisaa limoja hivi.

Napenda kuuliza, hili ni tatizo au ni jambo la kawaida?

Pitia attachments zote hizi, Zina information ya muhimu sana juu ya tatizo lako
 

Attachments

  • 1438546823560.jpg
    1438546823560.jpg
    87.7 KB · Views: 265
  • 1438546858008.jpg
    1438546858008.jpg
    80.7 KB · Views: 233
  • 1438546884234.jpg
    1438546884234.jpg
    84.5 KB · Views: 226
  • 1438546908085.jpg
    1438546908085.jpg
    73.2 KB · Views: 223
Back
Top Bottom