Nikiona mwanaume mweusi nachanganyikiwa

Nikiona mwanaume mweusi nachanganyikiwa

ha ha ha ha...black kweli huyu
vipi huyu anafaa???

1045135_404847216299065_108000975_n.jpg
 
Nina kakaangu vipi utampenda???????????????Ila mweusi kama mkaa
 
Nina mashaka na ID ya mleta mada. Ni kama mwanaume mwenye akaunti nyingi za JF. Ni hivi, mada zake nyingi zafanana
 
Bandugu natumai hamujambo hapo mulipo, na poleni na kazi za ujenzi wa Taifa, binafsi niko wa afya tele, Mwenzenu nina katatizo na pengine ni tatizo kubwa na linahitaji tiba, kimsingi NAPENDA MWANAUME MWEUSI tena ule weusi wa kuteleza yaani huwa nachanganyikiwa lkn bado sijabahatika kumpata, ila sijakata tamaa nawomba Mungu ipo siku atanipa.!!!
Ni pm tuyajenge, kwa weusi ninao wa kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom