Dotworld
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,035
- 3,783
.Ahahahaa..hujasema unampenda mwanaume mweusi for what exactly???...kumuona tuu kuduu naye tuu au hata kuolewa naye pia?..kuwa spesifiki.
Who Cares?
.
.Ahahahaa..hujasema unampenda mwanaume mweusi for what exactly???...kumuona tuu kuduu naye tuu au hata kuolewa naye pia?..kuwa spesifiki.
Hebu kula kwa macho Bi Mkubwa....ukihisi kuchanganyikiwa nitumie PM nikupe namba zao za simu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hamia Senegal au South Sudan!Bandugu natumai hamujambo hapo mulipo, na poleni na kazi za ujenzi wa Taifa, binafsi niko wa afya tele, Mwenzenu nina katatizo na pengine ni tatizo kubwa na linahitaji tiba, kimsingi NAPENDA MWANAUME MWEUSI tena ule weusi wa kuteleza yaani huwa nachanganyikiwa lkn bado sijabahatika kumpata, ila sijakata tamaa nawomba Mungu ipo siku atanipa.!!!
hahahah huyoo jamaa hata sijui mara ya mwisho kutabasamu ilikuwa lini?Mkuu Mndengereko yaani umepiga Ikulu
maana jamaa ni mweusi hasa
mwenye hitaji akubali yaishe tu.
Mkuu avatar yako inakubeba sana lol
vipi huyu anafaa???
![]()
huyu itakuwa unakwaruzaKwani huyu weusi wake unateleza?
Mkuu avatar yako inakubeba sana lol
Hebu kula kwa macho Bi Mkubwa....ukihisi kuchanganyikiwa nitumie PM nikupe namba zao za simu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
watu8 huyo namba mbili nipatie namba yake
nipm,si unaona Avata yangu hata sionekani?