Nikioa nitazama uvinza!!.

Sawa rafiki. Kwani mkuu maana yake nini?
Ni neno maarufu tu linalotumika ku-adress watu jukwaani. Nataka nikuite best, sisi wahenga tunaweza kusaidiana kwa mengi
 
Vijana kila wanavyoona kwenye porn wanaoiga
 
Acha mbwembwe mkuu

Kila kitu kinakuwaga na risk zake na kuna jinsi ya kupunguza risk na maisha yakaendelea..

Sio kila mtumiaji excessive wa alcohol anapata liver cirrhosis au mvuta sigara anapata cancer ya mapafu..
 
I din't say that!
Acha mbwembwe mkuu

Kila kitu kinakuwaga na risk zake na kuna jinsi ya kupunguza risk na maisha yakaendelea..

Sio kila mtumiaji excessive wa alcohol anapata liver cirrhosis au mvuta sigara anapata cancer ya mapafu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…