Kidume cha mbegu
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 1,251
- 709
Natumain ni wazima
Naombeni msaada jamani Mimi napenda sana kunyoa kipara kile ccha kung'aaa kabisa ila sasa kila nikinyoa tuu lazima nilazwe hospital yani nakuwaa Naumwa balaaa na hata wakifanya vipimo hakunaga ugonjwaa wowote
JE TATIZO NI NINI LINALOSABABISHA HIVYO
Naombeni msaada jamani Mimi napenda sana kunyoa kipara kile ccha kung'aaa kabisa ila sasa kila nikinyoa tuu lazima nilazwe hospital yani nakuwaa Naumwa balaaa na hata wakifanya vipimo hakunaga ugonjwaa wowote
JE TATIZO NI NINI LINALOSABABISHA HIVYO