Magufuli alitumia mwingi jukwaani wakati wa kampeni kunajinasibu kuwa yeye atakuwa rais wa wanyonge, mpenda haki na kwamba ataleta ajira kwa vijana kwa kuanzisha viwanda, lakini tangu ameingia madarakani hakuna alilolifanya zaidi ya kuumiza hao wanyonge aliokuwa anawatetea, sasa hivi anatenda ambayo hakuyahubiri na hali ya Mtanzania inazidi kuwa mbaya.
Mwingine ni huyu ni mwanasiasa kijana (ingawaje muonekano sio) huyu wakati wa katiba alijipambanua vyema, alijibu hoja kisomi na kiueledi zaidi, kila alipokuwa anazungumza kwenye vyombo vya habari kila Mtanzania alitega sikio kumsikiliza na hoja zake zilikuwa na mshiko kweli kweli, lakini leo hii hana jipya, ule uwezo wa kujibu hoja haupo tena, amebaki kuulizia madada wa watu.
Ni nani amewaloga wanasiasa hawa ambao kipindi hicho walijipambanua vyema.
Mwingine ni huyu ni mwanasiasa kijana (ingawaje muonekano sio) huyu wakati wa katiba alijipambanua vyema, alijibu hoja kisomi na kiueledi zaidi, kila alipokuwa anazungumza kwenye vyombo vya habari kila Mtanzania alitega sikio kumsikiliza na hoja zake zilikuwa na mshiko kweli kweli, lakini leo hii hana jipya, ule uwezo wa kujibu hoja haupo tena, amebaki kuulizia madada wa watu.
Ni nani amewaloga wanasiasa hawa ambao kipindi hicho walijipambanua vyema.