Nikimuwaza Ben Saanane napata mshtuko

Nikimuwaza Ben Saanane napata mshtuko

Mungu siyo amsterdam wala lisu,

Ndio maana yule mwizi pale msalabani alienda na Yesu mbinguni moja kwa moja katika dk za mwisho za kukata roho alitubu
Kama hujui hta JPM aliongozwa sala ya toba na walokole kwa ishara tu but haibadili ukweli kwamba alikua na vifungo vingine vya kiroho. Unless walivunja na maagano yote aliyoweka, He will rot in hell forever.
 
Kama hujui hta JPM aliongozwa sala ya toba na walokole kwa ishara tu but haibadili ukweli kwamba alikua na vifungo vingine vya kiroho. Unless walivunja na maagano yote aliyoweka, He will rot in hell forever.
Alikuwa na vifungo vingine vya kiroho wewe ndio Mungu?

Wewe ni Mungu kiasi cha kupima viroho vya watu?
 
Ndio alikua navyo kama walivyo viongozi wengi tu wa kisiasa hilo halipingiki for ulinzi and influence. Sasa huwezi vaa hirizi alafu muda huo huo unaenda madhabahuni, Mungu hadhihakiwi.
Una ushahidi nao haya madai yako utuwekee hapa?

Na kama ni hivyo kumbe viongozi wote wa kiasiasa wakiwemo hata hao wakuu wako kumbe wote madhambi yao ni mamoja?
 
Una ushahidi nao haya madai yako utuwekee hapa?

Na kama ni hivyo kumbe viongozi wote wa kiasiasa wakiwemo hata hao wakuu wako kumbe wote madhambi yao ni mamoja?
Ndio wanasiasa wengi wanatumia ushirikina kujilinda ukiwa huku kakonko ndio utanielewa wanavyopishana na ma V8!! however bora wengine wapo kimya huwezi waona madhabahuni wakijifanya wapenda Mungu sana.

Hayo maigizo hayawezi kukusaidia bora uchague upande mmoja tu. Huwezi kuua watu wengi hivyo afu upande kwenye mimbari ukajifanya mcha Mungu!! Never..... Karma itakupiga tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom