Nikimuwaza Ben Saanane napata mshtuko

Nikimuwaza Ben Saanane napata mshtuko

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,299
Hakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?

Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.

Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.

Mwisho wa yote muda utaongea.

Pumzika Ben
Pumzika Azory
 
Hakika nikimuwaza Ben sanane na Azory gwanda napata mshtuko wa moyo napata kiwewe najiuliza last moments zao zilikuwaje?

Najiuliza pale walipokamatwa paap na hatua za mwisho mpaka kutoweka kwao mpaka Leo !! Navaa viatu vya mke wake na watoto wao ben nà gwanada yani nashindwa kuelewa mtu unapataje ujasiri wa kumuombea mtu aliyewapoteza watu wasio na hatia.

Ninapowaona viongozi wa dini na waimbaji wa nyimbo za kumsifu mtu aliyepoteza watu kimasihara nashindwa kuelewa Mungu yupi wanaemuabudu.

Mwisho wa yote muda utaongea.

Pumzika Ben
Pumzika Azory
Inawezekana Daudi anahusika na kupotea kwa Ben ?
 
Kutoka #Maktaba
IMG_20200201_135350.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho wa ubaya aibu. Ilianza wa kusemwa kwa kificho, woga na tena kwa kunong'ona, mara sauti zikaanza kwa mbali kusikika, imefika sasa wakati watu wameanza kupaza sauti bila ya woga na hata mwangwi wake kusikika ughaibuni. Ni kwa kupitia kanuni ile ile ya anguko la aibu.
1. Being used by evil powers
2. Being misused.
3. Being confused
4. Eventually being abused.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom