beby ake mama
Member
- Aug 10, 2016
- 69
- 31
Kuna tatizo linanisumbua na sijui nilitatue vipi, tatizo langu ni kudumu kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mwanaume ambaye simpendi /hayupo moyoni mwangu.
Ikitokea NIKIMPENDA tu! siwezi kudumu naye tena lazima nimuache muda mfupi tu, nikikaa naye sana sizidishi miezi 6. Sijui tatizo langu lipo wapi ushauri wenu plz
nitazingatia

Ikitokea NIKIMPENDA tu! siwezi kudumu naye tena lazima nimuache muda mfupi tu, nikikaa naye sana sizidishi miezi 6. Sijui tatizo langu lipo wapi ushauri wenu plz
nitazingatia
