Nikimjibu Magufuli hadharani nini kitatokea?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
53,682
120,372
KWA MFANO...............Mimi ni Director na afisa mwandamizi mahali fulani serikalini. Kuna issue mkuu Magufuli hajaielewa vizuri, hajataka nimueleweshe hata kama ni kwa maandishi ili ayatadhimini maelezo yangu. Ghafla vuuuuuup anakuja na makamera ya wanahabari. Anakuja na mzuka wa kunitumbua, kumbe mi niko smart. Anasema hiki na kile hakijakaa sawa na ananiita jipu. Lakini ukweli ninaujua kuwa kuna mamili.

Labda ni issue ya kulipa mishahara kwa watumishi waliokufa,ukweli ni kuwa Mwigulu Nchemba aliagiza mishahara ilipwe na hazina moja kwa moja, kwa hiyo sina namna zaidi ya kutoa taarifa tu kuwa fulani na fulani wafutwe kwenye payroll, nimefanya hivyo kwa wakati ila utumishi na haizna hawajafuta.Sina makosa.

Haya kuna dispensary haijaanza kufanya kazi. Naambiwa mzembe na nawakosesha watanzania huduma,HAPA KAZI TU, nataka kutumbuliwa. Ukweli naujua, kwamba serikali haijaleta ruzuku kumalizia vyoo na store ya madawa, na Wizara ya Afya imekataa kutoa kibali na kuleta wahudumu, barua za kukumbushia zipo.

Lakini pale nimetaitiwa na nanchoreshwa balaa na najua kabisa three minutes to come nitarushwa kwenye mamitandao nimesimamishwa kazi.... NAWEZA KUMJIBU MAGUFULI STRAIGHTFOWARD??

Nipeni muongozo.
 
Mimi ni Director na afisa mwandamizi mahali fulani serikalini. Kuna issue mkuu Magufuli hajaielewa vizuri, hajataka nimueleweshe hata kama ni kwa maandishi ili ayatadhimini maelezo yangu. Ghafla vuuuuuup anakuja na makamera ya wanahabari. Anakuja na mzuka wa kunitumbua, kumbe mi niko smart. Anasema hiki na kile hakijakaa sawa na ananiita jipu. Lakini ukweli ninaujua kuwa kuna mamili.
Labda ni issue ya kulipa mishahara kwa watumishi waliokufa,ukweli ni kuwa Mwigulu Nchemba aliagiza mishahara ilipwe na hazina moja kwa moja, kwa hiyo sina namna zaidi ya kutoa taarifa tu kuwa fulani na fulani wafutwe kwenye payroll, nimefanya hivyo kwa wakati ila utumishi na haizna hawajafuta.Sina makosa.
Haya kuna dispensary haijaanza kufanya kazi. Naambiwa mzembe na nawakosesha watanzania huduma,HAPA KAZI TU, nataka kutumbuliwa. Ukweli naujua, kwamba serikali haijaleta ruzuku kumalizia vyoo na store ya madawa, na Wizara ya Afya imekataa kutoa kibali na kuleta wahudumu, barua za kukumbushia zipo.
Lakini pale nimetaitiwa na nanchoreshwa balaa na najua kabisa three minutes to come nitarushwa kwenye mamitandao nimesimamishwa kazi......NAWEZA KUMJIBU MAGUFULI STRAIGHTFOWARD?????Nipeni muongozo

ayatathmini.
 
Hahahahahaha Rais hawezi kukurupuka hivyo jambo ambalo rais analisema na kulitumbua ameshapewa data kamili, wako watu wanaochunguza kwa kina na kumpa rais taarifa.

Swala lako nakushauri anza kwa katibu wa wizara, katibu mkuu kiongozi hapo limefika ikulu. Kuliko unavyojidai unataka kumlipua rais ataungana jela na babu seya.
 
Mimi ni Director na afisa mwandamizi mahali fulani serikalini. Kuna issue mkuu Magufuli hajaielewa vizuri, hajataka nimueleweshe hata kama ni kwa maandishi ili ayatadhimini maelezo yangu. Ghafla vuuuuuup anakuja na makamera ya wanahabari. Anakuja na mzuka wa kunitumbua, kumbe mi niko smart. Anasema hiki na kile hakijakaa sawa na ananiita jipu. Lakini ukweli ninaujua kuwa kuna mamili.
Labda ni issue ya kulipa mishahara kwa watumishi waliokufa,ukweli ni kuwa Mwigulu Nchemba aliagiza mishahara ilipwe na hazina moja kwa moja, kwa hiyo sina namna zaidi ya kutoa taarifa tu kuwa fulani na fulani wafutwe kwenye payroll, nimefanya hivyo kwa wakati ila utumishi na haizna hawajafuta.Sina makosa.
Haya kuna dispensary haijaanza kufanya kazi. Naambiwa mzembe na nawakosesha watanzania huduma,HAPA KAZI TU, nataka kutumbuliwa. Ukweli naujua, kwamba serikali haijaleta ruzuku kumalizia vyoo na store ya madawa, na Wizara ya Afya imekataa kutoa kibali na kuleta wahudumu, barua za kukumbushia zipo.
Lakini pale nimetaitiwa na nanchoreshwa balaa na najua kabisa three minutes to come nitarushwa kwenye mamitandao nimesimamishwa kazi......NAWEZA KUMJIBU MAGUFULI STRAIGHTFOWARD?????Nipeni muongozo
Yeah , unaweza kujieleza kama umepewa muda lakini wakati mwingine kweli unaweza ukawa victims bila ya kujitetea kwa kweli
 
Tafadhali usifanye unachotaka kukifanya... Ila kama kuna connection yoyote ya karibu na mkulu omba upewe muda akusikilize au hata ukiweza kupata namba yake private umpigie umuombe usikifu...

Namfahamu mkuu ni msikifu pale linapokuja suala la kutaka kuelewa ukweli. Ila pia nahisi kuna chembechembe za uvivu na kijiuzembe fulani kwenye idara yako unayotawala.

Pole lakini kwa kuitwa jipu... Mkuu amelishwa sifa zako chache mbovu ila angelishwa sifa zako nyingi nzuri... INGEKUWA Kama ishu ya beno ndulu. Next time jitahidi uwe dr au hata prof.

Hao watu mkulu anaamini hawajaumbwa kukosea..WAKO Makini. Na hata akitaka kuwatumbua majipu anawatumbua kistaarabu sana kama dr. Dau ramso wa NSSF.
 
Hahahahahaha Rais hawezi kukurupuka hivyo jambo ambalo rais analisema na kulitumbua ameshapewa data kamili, wako watu wanaochunguza kwa kina na kumpa rais taarifa.

Swala lako nakushauri anza kwa katibu wa wizara, katibu mkuu kiongozi hapo limefika ikulu. Kuliko unavyojidai unataka kumlipua rais ataungana jela na babu seya.
Mkuu wanaopeleka taarifa ni binadamu kama wewe mkuu
 
Tafadhali usifanye unachotaka kukifanya... ILA, kama kuna connection yoyote ya karibu na mkulu omba upewe muda akusikilize au hata ukiweza kupata namba yake private umpigie umuombe usikifu...NAMFAHAMU Mkuu ni msikifu pale linapokuja suala la kutaka kuelewa ukweli. Ila pia nahisi kuna chembechembe za uvivu na kijiuzembe fulani kwenye idara yako unayotawala.

Pole lakini kwa kuitwa jipu... MKUU Amelishwa sifa zako chache mbovu ila angelishwa sifa zako nyingi nzuri...INGEKUWA Kama ishu ya beno ndulu. Next time jitahidi uwe dr au hata prof. Hao watu mkulu anaamini hawajaumbwa kukosea..WAKO Makini. Na hata akitaka kuwatumbua majipu anawatumbua kistaarabu sana kama dr. Dau ramso wa NSSF.

Haaaa haaaa kaka ushauri wako umekaa kiutani ila mzuri bwana
 
Hahahahahaha Rais hawezi kukurupuka hivyo jambo ambalo rais analisema na kulitumbua ameshapewa data kamili, wako watu wanaochunguza kwa kina na kumpa rais taarifa.

Swala lako nakushauri anza kwa katibu wa wizara, katibu mkuu kiongozi hapo limefika ikulu. Kuliko unavyojidai unataka kumlipua rais ataungana jela na babu seya.

My friend..Hivi ni sahihi kwa Profesor kudhalilishwa kwa discrepancy ya staff mmoja kati ya list ya Mkuu na ile ya pale benki?

Aliomba clarification akaikosa?

Jamani mfumo huu wa uongozi wa makamera sio mzuri
 
Hahahahahaha Rais hawezi kukurupuka hivyo jambo ambalo rais analisema na kulitumbua ameshapewa data kamili, wako watu wanaochunguza kwa kina na kumpa rais taarifa.

Swala lako nakushauri anza kwa katibu wa wizara, katibu mkuu kiongozi hapo limefika ikulu. Kuliko unavyojidai unataka kumlipua rais ataungana jela na babu seya.
Mara ngapi tumesikia habari kuwa rais kadanganywa? Vipi kuhusu weledi wa hao mburura wanaomshauri mheshimiwa mtukufu rais wetu?
 
Ina maana kuna watu huwa wanampelekea mkulu taarifa za uongo za chuki? Sasa ukwelI ukibainika huyo aliyesema c kibarua kinaota nyasi?
 
Japo Magufuli ndiye mwajiri wako, na unazo taratibu, kanuni na sheria kati yako na mwajiri wako, lani kupitia urasimu inawezekana majibu yako yasimfikie, hivyo unaweza kutumia fursa yako ya pili kama Mtanzania, Magufuli ni mtumishi wako, wewe ndio bosi wake, uliyemuajiri kwa kura yako na ni wewe ndiye unayemlipa mshahara kwa kodi yako, hivyo uko huru kumueleza chochote kupitia forum yoyote ili mrradi hayo unayoyaeleza ndio ukweli halisi wa mambo na hautumii lugha mbaya.

Magufuli kama rais wetu tunapaswa tumuheshimu na sio tumuogope!, be free, haya mwagika sasa, tena humu jf 'vijana wake' ndio kijiwe chake!.

Rais pia anaweza kugomewa, kama siku ile anavamia BOT, kutaka kumtetemesha Gavana Ndullu, akamgomea!, nadhani tangu siku Magufuli alitamani amtumbue Ndullu kumbe gavana nae ana security of tenure, hawezi kumtumbua hadi amalize muda wake.

Siku ile amefuta sherehe za uhuru na kusema kufanya usafi ni lazima, kesho yake nilipandisha uzi humu kuuliza mamlaka hiyo ya kulazimisha raia wake wafanye kitu fulani ameipata wapi na kwa sheria gani?!. Keshokutwa yake kurugenzi ikatoa ufafanuzi kilichofutwa ni sherehe tuu ya uhuru, hapo ndio mwisho wa mamlaka yake, lakini kufanya usafi ni ombi na kuomba ushirikiano!.
Amri ya Rais Kuifuta Siku ya Uhuru Haijataja Usafi!.
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Hivyo ni msikivu sana!.

Pasco
 
Ina maana kuna watu huwa wanampelekea mkulu taarifa za uongo za chuki? Sasa ukwelI ukibainika huyo aliyesema c kibarua kinaota nyasi?
Wanaomshauri rais sio malaika, ni watu tu kama watu wengine. Watu hawa wanamuelewa rais wanajua kipi anataka kusikia na kipi hataki kusikia. Kana hawana weledi wao hautoshi basi watabaki kumuongopea kila wakati kwa kuwa tu hicho ndicho anachopenda kusikia.
 
Wakenya mnazingua sana, kwa hiyo huo ndio mchango wako!!!!
Kuna jukwaa maalumu kwa ajili yenu wakenya nenda huko maana hapa hapakutoshi.
KISWAHILI ni lugha yako ati.. sasa niaje washindwaitumiaa?? bass uongee ile lugha ya yule mkuu wenu mpya labda wawezaeleweka
 
Hujamfuatilia vizuri Alipo hutubia Arusha
Alisema amekaa serikalini miaka20
Kwahio anayajua mambo ya ajabu yanayo fanyika

Huna haja ya kumsubiria mpaka afike kwako
Kama unayo anza kuyaweka wazi sasa
Kama hukufanya hivyo
Utatumbuliwa
 
Back
Top Bottom