Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Ndiyo nimesema hivyo, nataka nikiamka tu nikiingia JF nikute "Breaking Newzzzzzzzzzzz" Makongoro hayupo kwenye baraza la mawaziri.Halafu John pombe maghufuli ndiye waziri mkuu.
WanaJF ndio wanaokuamshaga?!Waambie unaoishi nao!!!
Mh halafu nakuzimikia!! we acha tu! Karibu matoke basi dear!!!WanaJF ndio wanaokuamshaga?!Waambie unaoishi nao!!!
Na mimi ndo najiandaa kupika ya kwangu. . .karibu na wewe!!Mh halafu nakuzimikia!! we acha tu! Karibu matoke basi dear!!!
Mh halafu nakuzimikia!! we acha tu! Karibu matoke basi dear!!!