mutisya mutambu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 208
- 82
Habari wakuu, si mnajua siku hizi ni mwendo wa masinki tu huku kitu unakiona kabla hujakisindikiza na maji..
Sasa unavoona maharage yakiwa mazima kabisa tatizo ni nini?
Sasa unavoona maharage yakiwa mazima kabisa tatizo ni nini?