URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 736
- 1,374
Acha zako bwana mdogo alete mambo ya ujasiriamali MMU!!We boya sana sasa kila mtu akileta simulizi za kijinga hivi si tunajaza sever kipumbavupumbavu tu,Leta mambo ya ujasiriamali humu tujifunze tutengeneze future njema
Angalia aina ya jukwaa chiefWe boya sana sasa kila mtu akileta simulizi za kijinga hivi si tunajaza sever kipumbavupumbavu tu,Leta mambo ya ujasiriamali humu tujifunze tutengeneze future njema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Narudia tena ... Nisikien ...eny wanaume wenzangu "wadanganyika 7:12 .. Nayo inasema .. Usimsomeshe mchumba au kitu chochote kinachoendana na hicho ,maana utapata taabu sana "mwisho wa kunukuu
CcmWe boya sana sasa kila mtu akileta simulizi za kijinga hivi si tunajaza sever kipumbavupumbavu tu,Leta mambo ya ujasiriamali humu tujifunze tutengeneze future njema
We mbuzi punguza kekele sio kila sehemu meeeee neeeee meeeeWe boya sana sasa kila mtu akileta simulizi za kijinga hivi si tunajaza sever kipumbavupumbavu tu,Leta mambo ya ujasiriamali humu tujifunze tutengeneze future njema
Dah! Mkuu kama mimi yaliwahi nikuta hayo ila pole sana alimradi umesha cool now .unajua nilichogundua ni kuwa wadada wengi hawawezi kutofautisha upendo wa dhati na tamaa na wakishatuumiza wanajiona wame win kweli baadae wakishafunzwa ndiyo huanza tena kukumbuka walipotoka ila sikushauri uoe single maza kama kweli aliweza kurudi kwa jamaa na kukutelekeza je? Ukimrudia unadhani atashindwa kuzalishwa akiwa ndani ya ndoa?Habari wana MMU,,,?
moja kwa moja niende kwenye mada kuwa miaka michache huko nyuma nilikua na mahusiano na binti mmoja hivi ..
Kipindi Naanza chuo mana nilivyomaliza form six sikuunga chuo nilikua home nafanya shughuli zangu za Kimaisha ( michakato ya kiuchumi)
Sasa mwaka ambao ndio naanza first year kuna binti alikua yupo second year ila umri mdogo kuliko hata mimi tulianzia urafiki mwishoe nili approach akakubali ...
Yule Dada home kwao bwana kumbe hali ya kiuchumi haikua fresh kabisa na wakati huo alishatelelezwa na mama yake alikua anaishi na baba yake ( R.I.P) mwaka huo huo ambao tulikua tumeanza mahusiano. .
Kiujumla nilikua nampa sapoti kwa namna moja au nyingine kiuchumi hapo chuo na hata baadhi ya gharama za chuo nilikua nampa support mana mda mwingi sana alikua ananiomba nimpe support. .
Tulidumu almost ndani ya miaka miwili ila Sikuwahi hata kula mzigo wakati huo aisee Dini ilikua nimeishika sana na nilikua Sikuwahi kujiingiza masuala ya sex yule binti niliwahi kumuomba kama mara mbili hivi aligoma na kusema dhambi mpaka ndoa....
Kumbe dada wa watu saivi mama nanii huko uliko arusha Mungu akupe neema kwa magumu unayopitia. .
Binti wa watu alikua Bikra na pia aliweka promise na mtu wa huko kwao kuwa watakuja kuoana licha ya jamaa alishindwa uvumilivu aliamua kuzaa na mwanamke mwingine. .
Binti alijaribu kuniweka karibu sana na Kunifanya kuwa mtu wake wa karibu sana na kunipa faraja kanisani tulikua tunaenda wote kusoma wote ila yeye course nyingine...
Ilikua kila Nikimwambia kuhusu suala la kuja kuoana alikua anatoa vikwazo kuwa wanaume sio waaminifu kabisa na alikua analia kabisa kuwa hapendi kusikia suala hilo. .
Kumbe mwenzangu alikua anakumbuka jinsi gani mtu ambaye amewekeana promise naye ya kuja kuoana kuvunja kwa maana kuzaa na mke mwingine. ..
Mwaka wa tatu yule jamaa wa home kwao alikua anaomba msamaha kwa chini chini sana ila mwanamke bado alikua hajaridhika. .
Mimi nilikua sijui yalikua ya siri sana
Basi mimi Nilijitahidi Kadri ya uwezo wangu kujitoa kwake...
Hadi alipomaliza chuo ndani ya miezi sita ya mwanzo kila baada ya siku tatu au tano elfu 30 ,40 , 50 Niliweza kumpatia ili kuweka mambo sawa home mana wadogo zake mmoja alianza form one mwingine la sita ..alikua hana kazi wala alikua hajapata internship yupo tuu vijijini na bibi yake ..
Basi Kumbe wakati yupo mtaani jamaa ndio alikua anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi yule mwanamke kuwa amsamehe na waanze upya jamaa Alitumia Njia anazojua mwisho wa siku kapata mke wake. .
Kwa upande wangu binti aliniambia kuwa wacha aanze maisha yake Binafsi mana anataka kuwa huru niliumia sana rafiki yake na yule binti aliniambia yote kuwa Mwenzako ameuridiana na mtu wake...
Basi nilipiga moyo konde japo Niliumia Sana aisee...
After one year a head yule binti alianza Kunitafuta na kutaka urafiki wetu urudi kama awali wakati huo kumbe yule jamaa mke ambaye amezaa naye aiseee sekeseke kubwa sana huko ..
Binti alishindwa matala mana jamaa alianza kuweka zamu ya kulala kwa wanawake zake kitendo hicho kilimkasilisha sana yule binti..
Rafiki yake alinipa habari zake na kuwa Kilichosababisha haya yote yule binti alikua anampenda sana jamaa alijua jamaa atabadilika kumbe la hasha...
Akajikuta anaanza kukumbuka upendo wangu na kuanza kuomba urafiki urudi na kuniambia tu kuwa kwa kipindi ambacho hatukuwa na mawasiliano alibahatika kupata mtoto mmoja...
Mimi sikumjibu chochote kile nipo zangu cool tuu mpaka leo miezi mitatu anaomba urafiki urudi nipo zangu najishughulisha na mishe zangu tuu mana chuo Nimesha Maliza. .
Kila nikikumbuka hii naumia sana nilikua mtu wa Aina gani kipindi hicho...
Asante sanaa mkuu. ..Dah! Mkuu kama mimi yaliwahi nikuta hayo ila pole sana alimradi umesha cool now .unajua nilichogundua ni kuwa wadada wengi hawawezi kutofautisha upendo wa dhati na tamaa na wakishatuumiza wanajiona wame win kweli baadae wakishafunzwa ndiyo huanza tena kukumbuka walipotoka ila sikushauri uoe single maza kama kweli aliweza kurudi kwa jamaa na kukutelekeza je? Ukimrudia unadhani atashindwa kuzalishwa akiwa ndani ya ndoa?
Dah! Mi nilioenda nikiwa first year sasa kama unavyoelewa huyo binti ndiyo alikuwa mpenzi wangu wa kwanza na hapo sikui maumivu ya mapenzi wala kitendwa inavyokuwa kiukweli nilimpenda sana sana sana yaani nilimjali na nilijitahidi kadiri ya uwezo wangu kumfurahisha japo na yeye papuchi alikuwa anagoma kwa kisingizio cha ubikra mkuu sikufichi nilimwamini sana .Asante sanaa mkuu. ..
Wewe kwako ilikuaje story
Hahaaaa....hatari sana aisee mkuuDah! Mi nilioenda nikiwa first year sasa kama unavyoelewa huyo binti ndiyo alikuwa mpenzi wangu wa kwanza na hapo sikui maumivu ya mapenzi wala kitendwa inavyokuwa kiukweli nilimpenda sana sana sana yaani nilimjali na nilijitahidi kadiri ya uwezo wangu kumfurahisha japo na yeye papuchi alikuwa anagoma kwa kisingizio cha ubikra mkuu sikufichi nilimwamini sana .
Nakumbuka ilikuwa ni likizo ya kwanza (semester 1) nilijaribu kimtafuta lakini mara nyingi ilikuwa simu inaita mwisho inakata ilichukua kama wiki mbili tatu hivi siku ya siku simu ikapokelewa nikaongea naye na kwa kuwa nilishaanza kuingiwa na wasi wasi ilibidi nimuhoji kama kweli ananipenda kwa nn anifanyie hivyo kukaa kimya takribani wiki 3 alichonijibu mkuu niliishiwa nguvu kwa kweli ,yaani bila hata ya kusita akatamka sina moyo kwako.dah hicho kitendo kiliniumiza kupita maelezo basi nikawa sina budi nikamwacha na maisha yake ila.namba yake sikufuta kwa kuwa bado nilikuwa nampenda akaanza weka status akiwa na jamaa yake nikaja kugundua kumbe alikuwa x wake na wamerudiana basi nilishindwa vumilia zile status nikafuta namba na kila kitu maisha yakaendelea .
Haikupita siku nyingi namba ngeni iliingia kwenye simu yangu kupokea kumbe ni yy anataka kurudisha mapenzi tena nilichofanya ni kukata simu na kubadili laini tu mpaka na leo huwa sina mapenzi ya dhati kwa hawa viumbe nikiri hilo huwa nawaaminisha nawapenda lakini moyoni najua nakula kisha najikataa
Samahanini kwa uandishi mbaya nagumia simu
Nisaidie .mkuu sina ajiraWe mbuzi punguza kekele sio kila sehemu meeeee neeeee meeee
Kwanza uwe unaangalia upo jukwaa gani
Km una dhida ya ajira njoo hapa Bunju kwenye hekalu lngu nikupe kazi ya ushambaboi
Kuanzia nimebadili line sijawahi kumsikia tena mkuu yaani kiujumla nishamuepuka ila wanawake wanatukaribisha vibaya mno kisha tukilosa imani kwao wanatuona wabayaHahaaaa....hatari sana aisee mkuu
Kwaio saivi hakutafuti au kakata tamaa
Asante sanaa mkuu kwa ushauri wakoAchana nae huyo, angekuwa hajazaa hapo sawa. Unaanzaje kurudiana na mwenzio ashakuwa single mother? Piga chini tafuta mwanamke mwingine, kwanza mpaka hapo hana shukurani mi naona kama anazidi tuu kukumbusha machungu ya kuvumilia 2 yaers without sex, wakati huo mwenzio alikuwa anakudanganya.
Ypur story looks exactly as mineDah! Mi nilioenda nikiwa first year sasa kama unavyoelewa huyo binti ndiyo alikuwa mpenzi wangu wa kwanza na hapo sikui maumivu ya mapenzi wala kitendwa inavyokuwa kiukweli nilimpenda sana sana sana yaani nilimjali na nilijitahidi kadiri ya uwezo wangu kumfurahisha japo na yeye papuchi alikuwa anagoma kwa kisingizio cha ubikra mkuu sikufichi nilimwamini sana .
Nakumbuka ilikuwa ni likizo ya kwanza (semester 1) nilijaribu kimtafuta lakini mara nyingi ilikuwa simu inaita mwisho inakata ilichukua kama wiki mbili tatu hivi siku ya siku simu ikapokelewa nikaongea naye na kwa kuwa nilishaanza kuingiwa na wasi wasi ilibidi nimuhoji kama kweli ananipenda kwa nn anifanyie hivyo kukaa kimya takribani wiki 3 alichonijibu mkuu niliishiwa nguvu kwa kweli ,yaani bila hata ya kusita akatamka sina moyo kwako.dah hicho kitendo kiliniumiza kupita maelezo basi nikawa sina budi nikamwacha na maisha yake ila.namba yake sikufuta kwa kuwa bado nilikuwa nampenda akaanza weka status akiwa na jamaa yake nikaja kugundua kumbe alikuwa x wake na wamerudiana basi nilishindwa vumilia zile status nikafuta namba na kila kitu maisha yakaendelea .
Haikupita siku nyingi namba ngeni iliingia kwenye simu yangu kupokea kumbe ni yy anataka kurudisha mapenzi tena nilichofanya ni kukata simu na kubadili laini tu mpaka na leo huwa sina mapenzi ya dhati kwa hawa viumbe nikiri hilo huwa nawaaminisha nawapenda lakini moyoni najua nakula kisha najikataa
Samahanini kwa uandishi mbaya nagumia simu
Sasa huyu mimi nilimblock mwanzoni ila anatumia rafiki zake kunitafutaKuanzia nimebadili line sijawahi kumsikia tena mkuu yaani kiujumla nishamuepuka ila wanawake wanatukaribisha vibaya mno kisha tukilosa imani kwao wanatuona wabaya
Fanya kumwambia ukweli ukiona haelewi mpotezeeSasa huyu mimi nilimblock mwanzoni ila anatumia rafiki zake kunitafuta
Nimemwambia kuwa nipo na maisha yangu ila bado analialiaFanya kumwambia ukweli ukiona haelewi mpotezee
Funguka mkuu ilikuaje na iliishajeYpur story looks exactly as mine
Sitaki kukumbuka tafuta nyuzi zangu ... Humu ... Memba wenzangu walnsaidia ni rudi kwenye mstar wengne walntafta had pm ...jf ... Naipenda sanaFunguka mkuu ilikuaje na iliishaje