nicholaus mbwambo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 287
- 233
- Thread starter
-
- #41
Mkuu hapana malezi na dini ndio viliniweka cool kuamini kila kitu na time yakeWanawake wengi wajinga sana.
Dawa usirudishe moyo nyuma,mwambie nina mpenzj wangu mwingine kwa sasa na tunapendana sana.
Wee jamaa na wewe sijui ndio udomo zege. Yaani upo nae muda wote umeshindwa kula mzigo na baada ya kutoswa nako bado upo tu unang'aa sharubu. Ndio maana watoto wa kike wanakuchezea sana.
Mim na wewe tuna mawazo sawa wanawake hawawezi kutusumbua sumbuaktk vitu nilivyoshindwa ni kufukuzia nyuchi kama naomba pepo.
Sawasawa chiefJichanganye uoe, hicho ni kiporo cha jamaa. Atakula muda wowote wakionana kumjulia hali mtoto, kimbia mkuu hiiiiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana ... Mi nlimsomeshaga dem wangu la tatu.... La tano akanisaliti ... Bora ilikua mapema
Ntaleaje mtoto wakati baba yake yupo anadundika kitaani kabisaKama unaweza kulea mtoto muoe, ameshajifunza mengi sana na atakua mwema sana
Tangu tuachane sijamtafuta ila yeye ndio kaanza kunitafuta miezi mitatu iliyopitaAcha kufukuzia k miaka kibao kaka hizo ni zama za mawe mkuu, pole sana
Mkuu hiyo hatari sanamkubalie afu piga ukuni afu muache
Sawasawa mkuu kwa ushauri wakoBinafsi kosa lako lilikuwa ni kusomesha.Kuna wanawake wengi huko nje wenye tabia nzuri na hawaja zaa so tafuta mke uoe.kumrudia huyo ipo siku utaleta uzi humu tena wa kulia.
Mwache dunia imkomeshe kwa usaliti wake na utapeli.
Nimependa hapo kwenye usaliti na utapeliBinafsi kosa lako lilikuwa ni kusomesha.Kuna wanawake wengi huko nje wenye tabia nzuri na hawaja zaa so tafuta mke uoe.kumrudia huyo ipo siku utaleta uzi humu tena wa kulia.
Mwache dunia imkomeshe kwa usaliti wake na utapeli.
Shida sio Bikra shida usaliti na utapeli wake na pia aliweka Malengo yake kuwa lazima yatimie ila Mungu hakuwa na yeye ndio mana saivi uelekeoBikra ilishasepa... au bado anayo kama hana mwambie asikuzoee
Mpotezee mkuu...Shida sio Bikra shida usaliti na utapeli wake na pia aliweka Malengo yake kuwa lazima yatimie ila Mungu hakuwa na yeye ndio mana saivi uelekeo
Nakubaliana na wewe ndugu mheshimiwwaNarudia tena ... Nisikien ...eny wanaume wenzangu "wadanganyika 7:12 .. Nayo inasema .. Usimsomeshe mchumba au kitu chochote kinachoendana na hicho ,maana utapata taabu sana "mwisho wa kunukuu