Nikikumbuka naumia sana

Mkuu hapana malezi na dini ndio viliniweka cool kuamini kila kitu na time yake
 
Jichanganye uoe, hicho ni kiporo cha jamaa. Atakula muda wowote wakionana kumjulia hali mtoto, kimbia mkuu hiiiiiiii.
 
Binafsi kosa lako lilikuwa ni kusomesha.Kuna wanawake wengi huko nje wenye tabia nzuri na hawaja zaa so tafuta mke uoe.kumrudia huyo ipo siku utaleta uzi humu tena wa kulia.
Mwache dunia imkomeshe kwa usaliti wake na utapeli.
 
Binafsi kosa lako lilikuwa ni kusomesha.Kuna wanawake wengi huko nje wenye tabia nzuri na hawaja zaa so tafuta mke uoe.kumrudia huyo ipo siku utaleta uzi humu tena wa kulia.
Mwache dunia imkomeshe kwa usaliti wake na utapeli.
Sawasawa mkuu kwa ushauri wako
 
Binafsi kosa lako lilikuwa ni kusomesha.Kuna wanawake wengi huko nje wenye tabia nzuri na hawaja zaa so tafuta mke uoe.kumrudia huyo ipo siku utaleta uzi humu tena wa kulia.
Mwache dunia imkomeshe kwa usaliti wake na utapeli.
Nimependa hapo kwenye usaliti na utapeli
 
Narudia tena ... Nisikien ...eny wanaume wenzangu "wadanganyika 7:12 .. Nayo inasema .. Usimsomeshe mchumba au kitu chochote kinachoendana na hicho ,maana utapata taabu sana "mwisho wa kunukuu
Nakubaliana na wewe ndugu mheshimiwwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…