Watakuwa wamekudhurumu mil 2.8. Haha haaa noma sana hiiMfano: NMB ukichukua iyo pesa kwa Miaka 3 utalipa 115,000/= kwa mwezi.
Hadi mkopo kuisha utakuwa umewapa jumla ya Shilingi Mil 7.8 kwahiyo watakua wamekudhurumu Mil 2.8.
Mfano: NMB ukichukua iyo pesa kwa Miaka 3 utalipa 115,000/= kwa mwezi.
Hadi mkopo kuisha utakuwa umewapa jumla ya Shilingi Mil 7.8 kwahiyo watakua wamekudhurumu Mil 2.8.
Ukiwa mfanyakazi wa serikali au taasisi inayotambulika kiserikali hiyo ni dhamana yako tosha.Hivi hizi benk hawawezi kukupa mkopo bila kuwa na dhamana?
inategemea aina ya mkopo na muda wa kurejesha.Habar zenu ndugu nomben mnisaidie kama ukikopa milion tano bank utakuwa unarudisha kias gani na kwa muda gani
Ukiwa mfanyakazi wa serikali au taasisi inayotambulika kiserikali hiyo ni dhamana yako tosha.
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
Hapo ni ngumu mkuu.Daah bado pagumu.
Mimi kibarua changu cha kawaida tu.mnapeana mshahara mwisho wa mwezi kienyeji hawawezi kukubali.
Duu i seeMfano: NMB ukichukua iyo pesa kwa Miaka 3 utalipa 115,000/= kwa mwezi.
Hadi mkopo kuisha utakuwa umewapa jumla ya Shilingi Mil 7.8 kwahiyo watakua wamekudhurumu Mil 2.8.
Mfano: NMB ukichukua iyo pesa kwa Miaka 3 utalipa 115,000/= kwa mwezi.
Hadi mkopo kuisha utakuwa umewapa jumla ya Shilingi Mil 7.8 kwahiyo watakua wamekudhurumu Mil 2.8.
Haaaaahaaaaa ndugu yangu hizo hesabu rahisi sana kuzipiga mdomoniUkiwa na akili timamu ndani ya miaka 3 kwa mtaji wa milioni 5 unaweza kutengeneza faida ya milioni 10,ukitoa hiyo 2.8 bado unabaki na fungu la kutosha
Na endapo sio mtumishi bali mjasiriamali wanatumia vigezo gani kukukopesha?Ukiwa mfanyakazi wa serikali au taasisi inayotambulika kiserikali hiyo ni dhamana yako tosha.
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app