Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
Jamani mimi hata sielewi!
Ni kwamba hili ni tatizo au? na kama ni tatizo, nitalitatua vipi mimi nikipapaswa kidogo tu au nikiguswa hapa na pale na mwanaume, tayari nguvu zinaniishia, nakuwa sijiwezi.
Jamani naombeni msaada wenu, maana hii hali inaninyima uhuru wa kukaa karibu na mwanume yeyote nahofia akinigusa tu, mimi tayari nguvu sina, na hapo kama ni mwanaume mwenye uchu wake, atanifanyia vibaya, na mimi sipendi.
nisaidieni sana jamani, maana siko huru kukaa karibu na wanaume.
Ni kwamba hili ni tatizo au? na kama ni tatizo, nitalitatua vipi mimi nikipapaswa kidogo tu au nikiguswa hapa na pale na mwanaume, tayari nguvu zinaniishia, nakuwa sijiwezi.
Jamani naombeni msaada wenu, maana hii hali inaninyima uhuru wa kukaa karibu na mwanume yeyote nahofia akinigusa tu, mimi tayari nguvu sina, na hapo kama ni mwanaume mwenye uchu wake, atanifanyia vibaya, na mimi sipendi.
nisaidieni sana jamani, maana siko huru kukaa karibu na wanaume.