Nikifanyeje hichi kidemu

Nikifanyeje hichi kidemu

Janja Unazingua mbona mtoto kaeleweka? Alafu si mkutane maeneo rafiki ya kumuongezea uhuru, achana na kuvizia kigiza cha jioni huko barabarani
Haya ndo maneno mkuu.
Tatizo wengine wanajikuta wajuaji sana humu jf.
Mtu kaomba ushauri,kama unao mpe kama huna pita hivi sio lazima ukomenti.
Kuna watu wamefanya kukomenti jf ni kama faradhi kwao.
 
We jamaa acha hiyo tabia ya kukasirika kirahisi tabia hiyo inawaponzaga wajeda ndiyo maana wanagongewa wake zao sana wakiwa kambini
Mkuu njoo na wewe unigongeee mke wangu.
Ruksa
 
Wewe mkubwa unafanya nini.
Acha kuchekacheka.
Kijana ngoja nikueleweshe... kuna kitu kinaitwa "Trendings" kwenye app ya jamii forums, nimeona uzi wako wa kitoto na kipumbavu kwenye trendings na kichwa cha habari nikajua kuna story yenye mafunzo au contents nzuri huenda tutaokoteza mawili matatu. Maana mafunzo na ushauri havina ukomo wala umri... nakutana na utoto 😂😂😂

Watoto wa tisini mwishoni na elfu mbili mna mambo sana 😂🙌🏾
 
Kijana ngoja nikueleweshe... kuna kitu kinaitwa "Trendings" kwenye app ya jamii forums, nimeona uzi wako wa kitoto na kipumbavu kwenye trendings na kichwa cha habari nikajua kuna story yenye mafunzo au contents nzuri huenda tutaokoteza mawili matatu. Maana mafunzo na ushauri havina ukomo wala umri... nakutana na utoto 😂😂😂

Watoto wa tisini mwishoni na elfu mbili mna mambo sana 😂🙌🏾
Ili tuelewane kwanza acha kuchekacheka.
Pili dont trust on everything you see.
Sometimes we seek relief from real life stresses on social medias.
So don't take it serious like that.
Nukta.
 
Haya ndo maneno mkuu.
Tatizo wengine wanajikuta wajuaji sana humu jf.
Mtu kaomba ushauri,kama unao mpe kama huna pita hivi sio lazima ukomenti.
Kuna watu wamefanya kukomenti jf ni kama faradhi kwao.
Kwenye jamii yeyote hawakosekani, hii ni jamii kwahiyo jifunze kuishi kulingana na uhalisia huu.
 
Back
Top Bottom