Jamani nisaidieni hapa naonaga watu wakibishanaga kwamba haya maneno ni tofauti................mimi naona nikifa nitakua Maiti tu, full stop.................
Jamani nisaidieni hapa naonaga watu wakibishanaga kwamba haya maneno ni tofauti................mimi naona nikifa nitakua Maiti tu, full stop.................
Sie waislam hatuna kuitana Hayati...hayati ni uzima.kifo (kama ilivyo ngono) kina nafasi ya pekee katika jamii zote duniani na ndio maana katika jamii zote duniani kifo (kama ngono) kina majina mengi.mfano kwa kiswahili tunasema fulani ametutoka,hatuko naye tena,mola kamuita,amefariki etc,kwa kiingereza has passed away,has gone to glory,is no longer with us etc ,hali kadhalika na ngono kulalana,tendo la ndoa,kut....,ku do,kulamba ,kudinya etc.Kutokana na hili hata kitendo cha kufariki nacho katika jamii kinakuwa na majina tofauti mfano kwa kihaya wanasema ta nanka yafa au ta nanka yatahya.hali kadhalika title ya aliyefariki katika jamii hutofautiana wahaya wana 'omubure nanka' na 'omugenzi nanka' na hapa katika kiswahili ndo inakuja tofauti ya marehemu na hayati, mfano Shk Karume
(RIP) na Mwl Nyerere ni hayati,bishanga nikipigwa chepe nitaitwa marehemu tu,you see the difference?simple,it is based on the status ya aliyefariki katika jamii kabla ya kifo chake.
yote kwa yote nawatakieni maisha marefu!