Nikiangalia marafiki niliohitimu nao primary hadi naomba

proton pump

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
5,361
6,900
Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
 
Nikiawangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa wana magari wameshaoa wanabiashara za kueleweka lkn mimi niling'ang'a kusoma hadi chuo kikuu,ajira sina chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani maisha ni kazi kweli kweli.
Hujachelewa bado vumilia, Fanya bidii, unayopitia wengi tumepitia kemea pepo la kukata tamaa.
 
Wakat Naanza Chuo 4YA, nilisema nikimaliza degreee naendelea zaid mbele,
leo hii nona yale ndo mawazo ya kiwango cha juu kabsa cha ujinga wangu, binafsi nahc ukishapata ile elimu ambayo kwako n basic edctn, basi itumie hio kutafta maisha, Kuendelea kusoma iwe 4 leasure o more targets, sio unapiga kitabu ukiulizwa kulikon unakurupuka et nataka mshahara mkubwa, Nyambafuuuu naomba utekwe
 
Nikiawangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa wana magari wameshaoa wanabiashara za kueleweka lkn mimi niling'ang'a kusoma hadi chuo kikuu,ajira sina chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani maisha ni kazi kweli kweli.
Hili nalo neno kiukweli. Sio ww tu wapo watu kibao nikiwemo na mm , yan huwa nikikutana nao swali la kwanza kuniulza unamtoto duuh

Nkimjibu cna, anauliza unasubiri nini, namjibu bado napambana, utasikia duu ok....

Hili Jambo dah
 
Kila mja na riziki yake mkuu,inawezekana hata ungeishia hilo darasa la saba bado mpaka leo ungekuwa huna lolote,Mungu ndio hupanga lini na saa ngapi atakupatia,usilaumu,safari bado.shukuru kwa kila jambo kuna wengine hata hiyo elimu hawajaipata.
 
Aisee ukiyawaza haya maisha unaweza usifanye chochote

Yan umesoma mpaka akili ikaota sugu af unakuja kuajiriwa na mtu aliekimbia shule akiwa darasa la3

Kweli maisha ni kama gharide ukisikia nyuma'sgeuka wakanza anakua wa mwisho.
Anyway, mkuu ulipo umefika ulipopataka, kazi utapata mhimu mshirikishe Mungu maana kwenye maisha amna alietangulia.

Unafikiri wangesoma wote nani angemwajir mwenzake au tusingesoma wote nani angemuongoza mwenzake

VIDOLE VYA MIKONO HAVILINGANI LAKINI VINAFANYA KAZI PAMOJA
 
Nikiawangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa wana magari wameshaoa wanabiashara za kueleweka lkn mimi niling'ang'a kusoma hadi chuo kikuu,ajira sina chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani maisha ni kazi kweli kweli.
502dd5c6a6507ce6ccbfa61f424cf0e3.jpg
 
Mim nilipitia hali km hio,nikawaona wamefanikiwa zaidi yangu,kudharaulika mtaani,ila nilikuja kuwaacha wote,leo hii hawaamini.muda wako ukifika vyote utapata,usichanganyikiwe na kufanikiwa kwa mtu.kila jambo na muda wake.tena ww utashangaa unafanikiwa zaidi yao.pambana,kataa roho ya kukata tamaa
 
Mim nilipitia hali km hio,nikawaona wamefanikiwa zaidi yangu,kudharaulika mtaani,ila nilikuja kuwaacha wote,leo hii hawaamini.muda wako ukifika vyote utapata,usichanganyikiwe na kufanikiwa kwa mtu.kila jambo na muda wake.tena ww utashangaa unafanikiwa zaidi yao.pambana,kataa roho ya kukata tamaa
Asante kiongozi
 
Back
Top Bottom