ha ha ha aniva.. kawaida tu . karibu sana tujumuike na ukifika miji kama hii usisite kutuona sisi wenye miji. kama ni binti nione nikuelekeze mambo kadhaa na kama ni wa kiume ntakuelekeza kwa jamaa mmoja hivi yeye kama ukipata pesa unamwona anakupeleka bar yenye mademu wakali. ila kama ni bint usisite kuja nikupe wosia na uzoefu wa humu ndani wanaume wakware wasije kukusumbua maana wengine............