Mtambuzi, hapa nilipo hata mimi machozi yananitoka, secretary wangu ananishangaa na ananiletea maji huku nikiandika, niko naye live ananiuliza kama ningependa kikombe cha kahawa,,,simjibu kitu " babangu kuna shida? Tina ananiuliza kwa sauti ya upole....mke wangu anapiga simu sasa ngoja nipokee, Ila ningependa kuwa na namba zako MCHAMBUZI, nikupigie sasa hivi? Mke wangu anapiga tena, sasa napokea!!!