kinyangesi
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 247
- 86
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
JAMAA MMOJA MUONGO ALIWAKUSANYA WATU NA KUANZA UONGO WAKE
MUONGO juzi nimeenda ngorongoro kumbe swala hawana mbio kabisa. nilipomuona swala nikashuka kwenye gari nikaanza kumkimbiza, nimemkimbiza weeeeee nikamkamata nikamlaza chini
MARA GHAFLA SIMU YA MUONGO IKAWA INAITA AKAPOKEA SIMU
MUONGO haloo nambie mtoto mzuri.......... ..yani nakupenda mpaka najipigaga ukutani yani........... powa basi mida mke wangu
MUONGO AKAKATA SIMU AKAIWEKA MFUKONI KISHA AKAWAULIZA WASIKILIZAJI
MUONGO hivi tuliishia wapi?
WASIKILIZAJI tuliishia umemlaza chini
MUONGO eheee baada ya kumlaza chini nikaanza kumbaka
WASIKILIZAJI heee ukambaka swala?
MUONGO hee kumbe swala? nikamchinja nikamchuna ngozi.
JAMAA MMOJA MUONGO ALIWAKUSANYA WATU NA KUANZA UONGO WAKE
MUONGO juzi nimeenda ngorongoro kumbe swala hawana mbio kabisa. nilipomuona swala nikashuka kwenye gari nikaanza kumkimbiza, nimemkimbiza weeeeee nikamkamata nikamlaza chini
MARA GHAFLA SIMU YA MUONGO IKAWA INAITA AKAPOKEA SIMU
MUONGO haloo nambie mtoto mzuri.......... ..yani nakupenda mpaka najipigaga ukutani yani........... powa basi mida mke wangu
MUONGO AKAKATA SIMU AKAIWEKA MFUKONI KISHA AKAWAULIZA WASIKILIZAJI
MUONGO hivi tuliishia wapi?
WASIKILIZAJI tuliishia umemlaza chini
MUONGO eheee baada ya kumlaza chini nikaanza kumbaka
WASIKILIZAJI heee ukambaka swala?
MUONGO hee kumbe swala? nikamchinja nikamchuna ngozi.