Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 10
Tulianza kama utani. Awamu hii tulikuwa kitandani. Nikimgeuzia huku yumo nikibadili mchezo yumo. Duh! Imekula kwangu leo! Nikampa viwili vya fasta kwanza kisha nikamuuliza "UNA MAVI . .?". Akasema hana, si nikaanza kulamba. Ile nalamba tu akatoa mavi, Bwana eeh! Yaani sio fair kabisa, huu mchezo wa karata wa last card . . .
Feliz Navidad to all JF Members
Feliz Navidad to all JF Members